britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,636
- 30,004
Mfungo wa ramadhani umeanza vema uko,
Mtanzania mwelevu atakubaliana na mimi kwamba professor kabudi ni makini na mara nyingi akiwa anafanya uwasilishaji wa hoja au kujibu swali haishii hapo , anatoa somo kabisa, ninapenda sana aina yake ya uwasilishaji,
Unaweza kunibishia hapa kwa mihemko lakin ukiwa peke yako sikiliza uwasilishaji wake katika hoja mbali mbali, maeneo mbali mbali anapokuwa anatolea maelezo,
Ninahisi tumetakiwa kuwa na aina ya watu kama hawa wengi katika sekta zinazotaka maelezo,
1. Sikiliza hapa wakati wa ufafanuzi wa sheria ya ndoa
2. Msikilize hapa pia
Uwasilishaji huo unanikumbusha wa mheshimiwa sospeter muhongo kipindi akiwa waziri wa nishati
Maana wote wana majigambo ya kujua wanachowasilisha kujua ni raha sana ,hakuna raha kama kuwasilisha kitu na kuwa na uelewa juu ya kujua vitu ambavyo unawasilisha,
Pia uwasilishaji huo unanikumbusha Magufuli akiwa bado Magufuli kule bungeni, mwenye data za kutosha kichwani na mwenye kujiamini anapotoa ufafanuzi wa jambo,
Kwa upande wa upinzani, mheshimiwa Tundu Antipass Lissu akiwa anawasilisha hoja yake ni lazima uwe na shauku ya kumsikiza kwa makini
Waliobaki kina zitto sina uhakika naye,
Heko Mr Kabudi
Mtanzania mwelevu atakubaliana na mimi kwamba professor kabudi ni makini na mara nyingi akiwa anafanya uwasilishaji wa hoja au kujibu swali haishii hapo , anatoa somo kabisa, ninapenda sana aina yake ya uwasilishaji,
Unaweza kunibishia hapa kwa mihemko lakin ukiwa peke yako sikiliza uwasilishaji wake katika hoja mbali mbali, maeneo mbali mbali anapokuwa anatolea maelezo,
Ninahisi tumetakiwa kuwa na aina ya watu kama hawa wengi katika sekta zinazotaka maelezo,
1. Sikiliza hapa wakati wa ufafanuzi wa sheria ya ndoa
2. Msikilize hapa pia
Uwasilishaji huo unanikumbusha wa mheshimiwa sospeter muhongo kipindi akiwa waziri wa nishati
Maana wote wana majigambo ya kujua wanachowasilisha kujua ni raha sana ,hakuna raha kama kuwasilisha kitu na kuwa na uelewa juu ya kujua vitu ambavyo unawasilisha,
Pia uwasilishaji huo unanikumbusha Magufuli akiwa bado Magufuli kule bungeni, mwenye data za kutosha kichwani na mwenye kujiamini anapotoa ufafanuzi wa jambo,
Kwa upande wa upinzani, mheshimiwa Tundu Antipass Lissu akiwa anawasilisha hoja yake ni lazima uwe na shauku ya kumsikiza kwa makini
Waliobaki kina zitto sina uhakika naye,
Heko Mr Kabudi