johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,023
- 142,073
Nakumbuka hata ile hoja ya Elimu Bure na Bima ya Afya kwa wote zilikuwa za Dr Slaa wakati akiwa ni Mtendaji mkuu wa Chadema
Hivyo tuangalie hoja za Godbless Lema kwa jicho la tatu Naamini ana lengo jema hata kama maneno anayotumia Kwenye uwasilishaji yana ukakasi
Mungu ni Mwema wakati Wote!
Hivyo tuangalie hoja za Godbless Lema kwa jicho la tatu Naamini ana lengo jema hata kama maneno anayotumia Kwenye uwasilishaji yana ukakasi
Mungu ni Mwema wakati Wote!