bora umchangie mgonjwa ajaribu anawezapona lakini mtu akifa ni boya tu hata ukitupa jalalani ni poa tu watz waoga sana wa kifo ndo mana mnachanga sana mtu akifa. Heri mchange pesa mpeleke muhimbili kwa wagonjwa wasio na pesa ya malipo
Naona kama tuna muheshimu sana mtu aliyekufa, na endapo ukienda kwenye msiba na usitoe mchango, watu watakujadili sana. Lakini kwa mgonwja hakuna michango, na watu hawashituki kabisa.
INATATANISHA SANA
MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!
...hapo unamainisha nini?Wana JF,
Ninapata shida sana kuelewa kuhusu kipi nikipe kipaumbele kati ya kuchangia pesa kwa mgonjwa na kuchangia pesa katika msiba.
Naomba mawazo kipi ni muhimu kwani yanatatanisha akili yangu.
MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
Pole kwa sababu inakuuma.Mchango toa kama unauwezo