peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 12,833
- 21,466
Mji wa mbeya hauna miundombinu ya barabara hata kidogo!
Ni vigezo gani vilitumika mbeya kuwa jiji?
Ni vigezo gani vilitumika mbeya kuwa jiji?
Mbeya ni Jiji kabla ya Mwanza... Mbeya ni jiji kabla ya Tanga.Mji wa mbeya hauna miundombinu ya barabara hata kidogo!
Ni vigezo gani vilitumika mbeya kuwa jiji?
Ungeuliza kwanza kuhusu Tanga kabla ya mbeyaMji wa mbeya hauna miundombinu ya barabara hata kidogo!
Ni vigezo gani vilitumika mbeya kuwa jiji?
Milima na mabonde ndo vigezo.Mji wa mbeya hauna miundombinu ya barabara hata kidogo!
Ni vigezo gani vilitumika mbeya kuwa jiji?
Siyo kweli, kitambo tulikuwa na majiji mawili tu Dar na Mwanza.Mbeya ni Jiji kabla ya Mwanza... Mbeya ni jiji kabla ya Tanga.
Shida ni CCM... na upumbvu wao.