Nimewadharau sana Tanroads. Badala ya kujenga simple flyover Mafiati Junction mnajenga roundabout? Mnaharibu taswira ya Jiji la Mbeya

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
43,048
49,731
Mafiati Junction-Mbeya
Screenshot_20240202-123220.jpg



Kiukweli Tanroads ya Sasa inatia kichefuchefu na aibu sana linapokuja swala la design.

Nimeangalia video zao zinazoelezea ujenzi wa njia 4 Mbeya ila cha ajabu na kushangaza eti eneo la Mafiati ambalo ndio Uso wa Jiji la Mbeya wao wanaenda kujenga Keep left au Round About badala ya kujenga Simple Flaiova kama hii hapa.

Screenshot_20240116-112418.jpg


Kazi ya Miundombinu ukiacha kuhudumia traffic lakini inatumika kupendezesha,kuongeza thamani na hadhi ya Mji au Jiji husika.

Mara nyingi Huwa wanasingizia gharama kama sehemu ya kufichia uwezo wao mdogo wa design na ubunifu lakini hicho ni kichaka tu. Simple design kama hii hapa inahitaji gharama gani kubwa?

20240116_112545.jpg


Tanroads mnajidhalilisha na kujidhalilisha nchi, jifunzeni kwa wenzenu na kama hamuwezi hakuna haja ya kuwa na hiyo taasisi ni Bora kuifuta.

Ona wenzetu wanachofanya, simple, good looking and cost efficient, nyie mnakwama wapi hadi mnatuharibia Mini yetu Kwa poor design?
Watu wa Mwanza kina Hector Cooper Kitombile instanbul Mikdde nyie ni wahanga wenzetu na watu wa Mbeya njooni tupige kelele kabla hawajutuharibia Mji Wetu. Half american Mbeya Girl Mbeya home MBEYA0000 Midimay Southern Highland Bujibuji Simba Nyamaume Yoda@Isanga family

 
Sasa huo wanaofanya TanRoads kama sio upuuzi ni nini? Kwanza ni Round About ya kawaida kama ya hapo Makambako

Pili kuna vidaraja vya kipuuzi vya wavuka Kwa miguu badala hata wangejenga Underpass au overpass.

Hovyo kabisa.
Kwani hujui ofisi zao zilipo ukawafokee?

Kwanini unatufokea sisi wakati wengine hata hatuelewi hiyo Mafyati?
 
Kwani hujui ofisi zao zilipo ukawafokee?

Kwanini unatufokea sisi wakati wengine hata hatuelewi hiyo Mafyati?
Kuna haja gani ya kwenda Ofisini wakati wapo humu jf?

Pili humu Jukwaani Kuna wadau wengi wa kuweka pressure na kuwafundisha ikibidi kuwakemea.
 
Kiukweli Tanroads ya Sasa inatia kichefuchefu na aibu sana linapokuja swala la design.

Nimeangalia video zao zinazoelezea ujenzi wa njia 4 Mbeya ila cha ajabu na kushangaza eti eneo la Mafiati ambalo ndio Uso wa Jiji la Mbeya wao wanaenda kujenga Keep left au Round About badala ya kujenga Simple Flaiova kama hii hapa.

View attachment 2873334

Kazi ya Miundombinu ukiacha kuhudumia traffic lakini inatumika kupendezesha,kuongeza thamani na hadhi ya Mji au Jiji husika.

Mara nyingi Huwa wanasingizia gharama kama sehemu ya kufichia uwezo wao mdogo wa design na ubunifu lakini hicho ni kichaka tu. Simple design kama hii hapa inahitaji gharama gani kubwa?

View attachment 2873336

Tanroads mnajidhalilisha na kujidhalilisha nchi, jifunzeni kwa wenzenu na kama hamuwezi hakuna haja ya kuwa na hiyo taasisi ni Bora kuifuta.

Ona wenzetu wanachofanya, simple, good looking and cost efficient, nyie mnakwama wapi hadi mnatuharibia Mini yetu Kwa poor design?
Watu wa Mwanza kina Hector Cooper Kitombile instanbul Mikdde nyie ni wahanga wenzetu na watu wa Mbeya njooni tupige kelele kabla hawajutuharibia Mji Wetu. Half american Mbeya Girl Mbeya home MBEYA0000 Midimay Southern Highland Bujibuji Simba Nyamaume Yoda@Isanga family

View attachment 2873327
Baada ya kuwasema wanadai eti kubadili design na kujenga underpasses badala ya flaiova.

View: https://youtu.be/BdoDmFxK1Mk?si=K3PXfTVIgKww478N

Hizo underpass Jengeni maeneo ambayo watu wengi wanavuka ila pale Mafiati Jengeni Simple flaiova
 
Acha ushamba wa flyover we kenge. Flyover zinaharibu taswira ya mji(Japo kwa ushamba unaweza kudhani zinapendezesha mji). Roundabout ni bora mara mia.
 
Kama wanataka kujenga mzunguko pale bora waache mataa tuu.Pale inatakiwa wajenge mini flyover magari yanayotoka KABWE,MWANJELWA kuelekea uelekeo wa Tunduma yapita moja kwa moja bila kizuizi kabisa.Na pale kabwe pajengwe kivuko cha waenda kwa miguu kikubwa kama cha Kirumba mwanza au kama cha Buguruni ili flow ya magari iende vizuri
 
Tanroad wanafanya kitu kwa ajili ya leo tu wala sio kesho sijawahi kuwaamini hao jamaa na sishangai wao kuendelea kufanya madudu wapo hovyo kupita maelezo...
 
Hiyo barabara ya Mbeya story nyingi sana za kuipamba kutoka kwako, tulia tu ikishaanza kujengwa ndio utuletee kelele zako.
 
Kiukweli Tanroads ya Sasa inatia kichefuchefu na aibu sana linapokuja swala la design.

Nimeangalia video zao zinazoelezea ujenzi wa njia 4 Mbeya ila cha ajabu na kushangaza eti eneo la Mafiati ambalo ndio Uso wa Jiji la Mbeya wao wanaenda kujenga Keep left au Round About badala ya kujenga Simple Flaiova kama hii hapa.

View attachment 2873334

Kazi ya Miundombinu ukiacha kuhudumia traffic lakini inatumika kupendezesha,kuongeza thamani na hadhi ya Mji au Jiji husika.

Mara nyingi Huwa wanasingizia gharama kama sehemu ya kufichia uwezo wao mdogo wa design na ubunifu lakini hicho ni kichaka tu. Simple design kama hii hapa inahitaji gharama gani kubwa?

View attachment 2873336

Tanroads mnajidhalilisha na kujidhalilisha nchi, jifunzeni kwa wenzenu na kama hamuwezi hakuna haja ya kuwa na hiyo taasisi ni Bora kuifuta.

Ona wenzetu wanachofanya, simple, good looking and cost efficient, nyie mnakwama wapi hadi mnatuharibia Mini yetu Kwa poor design?
Watu wa Mwanza kina Hector Cooper Kitombile instanbul Mikdde nyie ni wahanga wenzetu na watu wa Mbeya njooni tupige kelele kabla hawajutuharibia Mji Wetu. Half american Mbeya Girl Mbeya home MBEYA0000 Midimay Southern Highland Bujibuji Simba Nyamaume Yoda@Isanga family

View attachment 2873327
Mbeya walifanyaje wakaitwa Jiji?

Hakuna miundombinu Wala mpangilio wa mji.

Nyumba za udongo, zinajengwa mjini, mji haueleweke unajengwa kuelekea wapi na kutolea wapi?

Nyumba hazina dhamani mjini Mbeya, fedha za kujenga mnapata wapi ili hali nyumba hazilipi?
 
Mbeya ulifanyaje mkaitwa Jiji?

Hakuna miundombinu Wala mpangilio wa mji.

Nyumba za udongo, zinajengwa mjini, mji haueleweke unajengwa kuelekea wapi na kutolea wapi?

Nyumba hazina dhamani mjini Mbeya, fedha za kujenga mnapata wapi ili hali nyumba hazilipi?
Ndio tunashauri ijengwe miundombinu kizuri na yenye gharama nafuu.

Vigezo vikuu vya Kuwa Jiji sio Barabara Bali Mapato na idadi ya watu
 
Back
Top Bottom