Official kida
New Member
- Sep 23, 2019
- 4
- 1
Naomba kuuliza kuhusu mtu aliyesoma degree ya microbiology na botanical science anaweza kujiajiri vipi?
Kulingana na vitu walivyosoma bosiKujiajiri kulingana na vitu walivyosoma au kujiajiri kwa kufanya shughuli yeyote?
Fungua kampuni ya kuzalisha mbegu na bustani za mboga za kisasaNaomba kuuliza kuhusu mtu aliyesoma degree ya microbiology na botanical science anaweza kujiajiri vipi?