Zanta
JF-Expert Member
- Apr 4, 2011
- 2,028
- 788
komredi mi nikakamate kale ulikosema kama anampnda atasuibiri ndoaNisome tena vizuri mkuu, kuna point unaimiss.
komredi mi nikakamate kale ulikosema kama anampnda atasuibiri ndoaNisome tena vizuri mkuu, kuna point unaimiss.
ananipenda kama ninavompenda kweli? hatoniacha? i wish nipasue moyo wake nionengoja nikuulize.....wasi wasi wako uko wapi? yaani naamanisha HOFU KUU ni ipi kwako....kwa maneno mengine kwa nini humuamini..tuanzie hapo then ntakusaidia
njooo..u wl b my 26th husband
hehehe si tutalala pamoja lakini au? itakuwa bomba kinomiacha umbea wewe..semea uone km sjakugeuza plton ukalala 24/7!!!!!!!!
dah usiseme hivo kongosho? nitamegwa na wangapi sasa?duh, smile na umri huu unampa mtoto wamwanamke mwenzio upendo wa wapendwa?
At this era? Ambako kuna mwingine atampa kila atakacho?
Hivi unadhani mwanamme ataishi kwa mkate tu?
Na ukimpa unahisi itaisha?
Na hata kama akikuacha maisha hayatasonga?
Kwa sababu sasa hujampa, lakini unahisi he is slipping on your own hands.
Mmmh, kocha mwenyewe, unataka tukupangie nani acheze?
Utafukuzwa ukocha, waulize washabiki wa chesiii.
Pole lakini!
ananipenda kama ninavompenda kweli? hatoniacha? i wish nipasue moyo wake nione
sasa utakaaje bila kumhug mpenzi wako?Sasa hii kujifanya wakristo wa hollywood ndio mbaya hii, yaani mambo yako unataka yaende kiimani lakini at the same time mnabehave kihollywood hapo hata mimi ningeshindwa bana. Unajua ili upate mwanaume ambae atakubali msisex mpaka ndoa ni lazima ubehave kiimani imani zaidi. No kuteganaz and no outings ambazo zitapelekea kuchafua nguo za ndani. No kukumbatiana kijinga jinga hapa namaanisha inabidi usiweke mazingira ya kusumbua hisia za mwenzio.
Naitaji ushauri wa dhati kutoka kwenu wadau
Nilikuwa na mpenzi niliekuwa nampenda sana sana lakini mwisho wa siku aliniacha na kufunga ndoa narafiki yangu kipenzi.
From there sijawai kuwa kwenye relationship seriously maana sijawai kumpenda mwanaume yeyote tena since then
Miaka imeenda (shukranikwa jamii forums na wadai wake ) nimeweza kusahau ile hali kidogo na kuanza maisha upya.
Nikaamua kuingia kwenye mahusiano ,sijui tatizo ni mimi Kuna mwanaume kweli ninampenda lakini tunashindwakwenda mbele zaidi maana kiukweli simuamini .sijawahi kumuhisi kitu basi tu sijiamini na mahusiano nae
Hatujawai kusex nahisi anaweza tukisex anaweza kuniacha tena jamani sijui nifanyeje nahisikumpoteza
Kwani jamani kusex ni lazima jamani? I wish angenielewa imani yangu ila nampenda kweli kweli
komredi mi nikakamate kale ulikosema kama anampnda atasuibiri ndoa
Sasa njemba ushaiweka miezi saba bila ile kitu halaf unakwenda kuihug na zile ndubwana kifuani zinamchomachoma wewe unategemea nini? Smile kumbe hauko serious bana. Mimi nikikaa miezi saba halaf ukija kunihug halaf usinipe nakubaka banasasa utakaaje bila kumhug mpenzi wako?
we mpe bhana, kwa nini unamuadhimu kwa kosa la mtu mwingine? au unafuata kale ka usemi kenu et "wanaume wote ni watoto wa mama mmoja, so wanafanana" usimfanyie hvo. (af yule kaka anayekunyima raha wakati wa lunch na breakfast ushamwambia yanayokusibu juu yake?)what shall i do brother ?
okay sa hivi nimeanza kukuelewa, yaani we sio kwamba hupendi kumpa tundi ila una hofu ya kuachwa? kwa hiyo hapa unatakiwa kuomba ushauri wa jinsi ya kuondoa hiyo hofu,i wish ningetoka katika kifungo iki i wish
Shida inakuja na yeye atavumilia akikuta ndivyo sivyo?nitamvumilia tu hivohivo