mwasumwenye
Member
- Jul 11, 2015
- 23
- 1
Wachovuuu haya yangu macho
Siku ukitaka kurudi unalipia ada tu? Watanzania bana chafya kweli.
Ni ukumbusho gani kwenye hiyo kadi ya kishetani unaoutaka?
Nina kadi moja tu ya CHADEMA niliyoikata mwaka 2010, lakini kura yangu kwa Lowasa ni X.
Mkuu hamna mwanachama hapo kuna kahaba la kisiasa