Ninaishi na maumivu

Mara ya kwanza niliona ngoja nikaushe hata kuchek pale pale niliogopa ila baada ya kukuta Braza kaka amecheka nikasema haya ndo ya mwinyi kwenye msiba wa magu anauliza hapa ni wap vileπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒikabid nilud kucheka na kumjibuπŸ˜ƒ
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Huyu bro katisha aisee
Unatongoza msibani? Aisee
Hata kama ni kujiamini basi kumepitiliza
 
Ni wewe,ni yeye....ulivyokuwa unapata mke unaacha,unapata unaacha ulikuwa unakuja kupost hapa....wewe unadhani ndoa hazitushindi huko mtaani? Mbona watu hawaposti?
Hivyo kilamtu na mada yake anayoona inaumuhimu kushare nasi anashare.
Mkuu usichukulie serious Sana NI Katika Tu kumpa faraja kichangamfu by the way nishampa condolences kule pm ila hapa nijaribu Tu kumtoa wenge ili arudi kwenye mfumo..sio kwamba sijui uchungu hapana NI malomoni tu
 
Mkuu usichukulie serious Sana NI Katika Tu kumpa faraja kichangamfu by the way nishampa condolences kule pm ila hapa nijaribu Tu kumtoa wenge ili arudi kwenye mfumo..sio kwamba sijui uchungu hapana NI malomoni tu
Mungu akubariki,nafuta comments zangu.πŸ™πŸ™
 
Natamani kuelewa zaidi kuhusu hio kansa! Mtu alale aamke siku3 tayari jambo liwe jambo bila dalili zozote za awali...
Pole sana sanaa
 
Pole sana madame
 
Pole sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…