Ninaishi na maumivu

Hapa konyagiiii ipo KICHWANI imekolea.

Mimi ni mkristo nilimpoteza dada 16/ 17 July...

Niliwai kuwa na UGOMVII na MUNGU muda mrefu nilimwomba dada asifariki dada akafarikii

Ilichukua muda sana kupona...Kuna story/ simulizi ya maswahaba wa mtume Muhammad..for sure iliniokoa na kunisaidia sanaa

#VIJANA SABA WA PANGONI
 
Naomba namie labda itanisaidia kwa akili zangu nashindwa
 
Polee. We uko kama mimi. Mtoto akiumwa naombaga niumwe mimi. Naumwa mara mbili yake. Hata hivyo nikumuomba Mungu tu dunia ina maumivu sana.
 
Nina maumivu sana.
Kwenye movie ya Jet Li, Fearless kuna binti alipata upofu, huyu binti alikuwa anaishi na bibi yake. Binti alijawa na huzuni isiyoisha! Bibi yake alimfuata kisha akamwambia:

"If you're sad, then cry. When there are no more tears, life will go on".

Bibie, tafuta sehemu iliyotulia, lia mpake machozi yaishe, ukimaliza, endelea na maisha coz huwezi kubadilisha na maisha lazima yaendelee!
 
Naomba namie labda itanisaidia kwa akili zangu nashindwa
Itafute hiyo simuliziii itakusaidia sana...Mimi nilikaa mwaka na ushee sikusamehe

MIMI SIKUWAI KIAMINI KAMA FAMILIA YETU / SISI NA WOTEEEEEEE WANAO NIHUSU SIKUWAI KUAMINI KAMA TUNAWEZA KUFARIKII.

NI SIMULIZII NGUMU..NILILIA MBELE ZA WATU NIKAGOMBEZWA/ NIKAKATAZWA NIKAWA NALIA CHUMBANI/ NALIA KISIRI SIRI ACHA NI MBAYA SANAA
 
Machozi yanapunguza maumivu, kwa ushauri uliompatia pia atafute wimbo wa Ambwene, “NIMEACHILIA” bila shaka atapata relief kiasi fulani.
 
Pole sana my dear, Eve.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…