Ninaishi kwangu (nimejenga) ila sina furaha

Wakuu Nimejenga nyumba ya ghorofa 1 Bunju B kuanzia 2017 Ila sifurahii kukaa kwangu. Tatizo Ni nini?


Screenshot_20220714-144839.png
 
 
Ha ha ha ha nimecheka kifala hii nyumba sio yako na wala haiko Bunju nini unavyosema iko huko Goba hii nyumba ni ya bwan ......... na mama ........... wako very happy married ya 18yrs na blessing ya watoto wawili me na ke
 
Hiyo nyumba kuipa maintenance ya kukidhi viwango ni stress tupu. Huenda ni 3phase, umeme kwa mwezi ni 200k or more, una gardener, maids watatu, ndugu zako wamehamia kwako, majirani wanakuona kama bosi hivi, michango ya kijamii lazima ujitutumur hata kama huna hela..

Utapata wapi furaha...!!
 
Hiyo nyumba kuipa maintenance ya kukidhi viwango ni stress tupu. Huenda ni 3phase, umeme kwa mwezi ni 200k or more, una gardener, maids watatu, ndugu zako wamehamia kwako, majirani wanakuona kama bosi hivi, michango ya kijamii lazima ujitutumur hata kama huna hela..

Utapata wapi furaha...!!
Point
 
Back
Top Bottom