Utaipata siku ukiacha utotoBado natafuta furaha. Weekend njema
Hongera jombaWakuu Nimejenga nyumba ya ghorofa 1 Bunju B kuanzia 2017 Ila sifurahii kukaa kwangu. Tatizo Ni nini?
na wew unaamini hizi chaije umejenga kwa kudhurumu, mali , uhai wa mtu?
Wakuu Nimejenga nyumba ya ghorofa 1 Bunju B kuanzia 2017 Ila sifurahii kukaa kwangu. Tatizo Ni nini?
KWA KWELI HII NI CHAI, TENA YA BARIDIna wew unaamini hizi chai
Tafuta mremboWakuu Nimejenga nyumba ya ghorofa 1 Bunju B kuanzia 2017 Ila sifurahii kukaa kwangu. Tatizo Ni nini?
Nina kam hizo tisa, bado na mmi sina furaha!Wakuu Nimejenga nyumba ya ghorofa 1 Bunju B kuanzia 2017 Ila sifurahii kukaa kwangu. Tatizo Ni nini?
PointHiyo nyumba kuipa maintenance ya kukidhi viwango ni stress tupu. Huenda ni 3phase, umeme kwa mwezi ni 200k or more, una gardener, maids watatu, ndugu zako wamehamia kwako, majirani wanakuona kama bosi hivi, michango ya kijamii lazima ujitutumur hata kama huna hela..
Utapata wapi furaha...!!