Ninahitaji ramani ya nyumba ya haraka na nzuri.

Ninahitaji ramani ya nyumba ya haraka na nzuri.

Same ORG

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2012
Posts
321
Reaction score
21
Nina kiwanja changu cha ukubwa huu 90 kwa 75, jumapili nataka nianze kuweka foundation kama yupo mtu wa kuweza kunipatia ramani ya haraka anipatie na aniwekee sample zake kwenye email hii fahshana@yahoo.com.

Kama nitapata nitakayo ipenda tutafanya biashara.
 
Mbona faster hivyo?
Hakuna hata kuipeleka ramani Manispaa ili kuiombea building permit??
 
Duh! Unataka ramani Ijumaa na hapo bado haijachorwa kisha msingi Juma2.
Kaka naona unafikiri hivi vitu ni rahisi sana.
Enewei, gud luck na foundation yako.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Ninazo nyingi ila soft copy nikituma utaisoma kwa prog gani. Coz mpaka uwe na prog kama auto cad. Cotem3. Au dremek java suported
 
Nimeona ombi lako la kupatiwa kiwanja ila naona halijitoshelezi kwa ajili ya kukosa yafuatayo...
Huo ukubwa uliotoa ni kwa kipimo gani? Meta au futi?
Mtu anaweza kukupa ramani kama umetoa clue unataka nyumba ya namna gani mf:
Nyumba ya bed room ngapi? Ziweje self moja au zote, unataka jiko na store ndani? Na vitu vingine unavyopenda vijumuishwe au visijumuishwe.
Pia ni vizuri kutaja mahali unapotaka kuijenga mf. Sehemu za joto kama dar na moro lazima madirisha yawe makubwa sana nk.
 
Mkuu hadi hapo inaonesha hajui anachokitaka na Ana mipesa kibao inamsumbua. Au keshajiunga nn
 
Nimeona ombi lako la kupatiwa kiwanja ila naona halijitoshelezi kwa ajili ya kukosa yafuatayo...
Huo ukubwa uliotoa ni kwa kipimo gani? Meta au futi?
Mtu anaweza kukupa ramani kama umetoa clue unataka nyumba ya namna gani mf:
Nyumba ya bed room ngapi? Ziweje self moja au zote, unataka jiko na store ndani? Na vitu vingine unavyopenda vijumuishwe au visijumuishwe.
Pia ni vizuri kutaja mahali unapotaka kuijenga mf. Sehemu za joto kama dar na moro lazima madirisha yawe makubwa sana nk.

Huu ukubwa ni wa futi na ninahitahi nyumba iwe na vyumba 4, 2sitting room, jiko, stoo na mambo yote yanayohitajika kwenye nyumba.
 
acha wizi wewe mantareef usipende kudhulumu haki za watu kama unata njoo uchgue utayopenda ndio utoe hela na sio nikutumie then uselect je ukisema hakuna niliyoipenda then ukaichukua mie ntajuwaje?

Sasa wewe msalihina mbona huweki hata mawasiliano yako nikakutafuta?
 
Ninazo nyingi ila soft copy nikituma utaisoma kwa prog gani. Coz mpaka uwe na prog kama auto cad. Cotem3. Au dremek java suported

Nyorji jaribu kutuma kama zikinishinda nitakujulisha tuu au naweza kukufata ofisi
 
Duh! Unataka ramani Ijumaa na hapo bado haijachorwa kisha msingi Juma2.
Kaka naona unafikiri hivi vitu ni rahisi sana.
Enewei, gud luck na foundation yako.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Usishangae hilo mzee wangu huu ni wakati wa digital linawezekana hata ndani ya nusu saa tuu.
 
Unataka ramani ya nini?nyumba,kanisa,msikiti,gereji,dangulo,cinema,bar,guest,ukumbi wa mikutano???????????
 
Time frame ndogo sana, una uhakika unataka kujenga nyumba bora, au bora nyumba!
 
Nina kiwanja changu cha ukubwa huu 90 kwa 75, jumapili nataka nianze kuweka foundation kama yupo mtu wa kuweza kunipatia ramani ya haraka anipatie na aniwekee sample zake kwenye email hii fahshana@yahoo.com.

Kama nitapata nitakayo ipenda tutafanya biashara.

kama ujapata ramani ni PM 4more detail
 
Back
Top Bottom