GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,516
- 108,791
Sura zao kiukweli kwa jinsi zilivyofanana zinatupa wasiwasi kwamba huenda labda ni Mapacha au wana Undugu kwani ukiziangalia kwa umakini kabisa Sura zao unaweza hata kushindwa kumtofautisha mmoja wao labda mpaka utulie sana na uanze Kuchambua.
Naomba kuuliza je Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta na Jaji Mkuu wa Tanzania Profesa Ibrahim Juma ni Mapacha au Ndugu?
Nawasilisha.
Naomba kuuliza je Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta na Jaji Mkuu wa Tanzania Profesa Ibrahim Juma ni Mapacha au Ndugu?
Nawasilisha.