Ninadhani RC Mtambi anatakiwa ajifunze zaidi kuhusu sekta ya utalii inavyofanya kazi

Ninadhani RC Mtambi anatakiwa ajifunze zaidi kuhusu sekta ya utalii inavyofanya kazi

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2012
Posts
19,292
Reaction score
39,975
Binafsi ninaona RC Mtambi kuna mambo hajui kuhusu utalii na jinsi gani hii sekta ina umuhimu kwa taifa hili. Hizi amri zake zinagusa mambo mengi sana kitaifa na kimataifa. Sio kauli za kidiplomasia.

 
Yupo sahihi. Magari yanazama na watu wanakufa. Nimejuiliza sana kwanini wanaendelea kupita na wanaona maji ni mengi
 
Mbona anaongea vizuri sana tuu. kweli hali ya hewa mbaya mnakwenda wapi? Mtoa mada umeona clip lakini?
 
Back
Top Bottom