Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,022
- 10,191
Duuuh
Mwekundu wa msimbazi.Kuna watu wana vichwa vigumu kama jiwe.
NB: Wakiwa wengi ni wekundu wa msimbazi, akiwa mmoja ataitwaje?
Jumamosi saa tatu vipi? Mbona ulisema tusikimbiane halafu ukakimbia?Kila la Kheri National Al Ahly FC mechi yao ya mwisho ya CAFCL huko Kwao Weekend hii japo bado sijajua anacheza na nani.
Hahahahaha...si wanaonesha wao ni jinsi gani ni mbumbumbu...unategemea mbumbumbu aache umbumbumbu wake ?Haya mambo mnayaanzaga wenyewe, hapo hamjafuzu bado badala mpambane kuhamasishana mnahangaika na waliofuzu tayari.
Apige mswaki wa nini wakati hata kamasi hapengi?Ila popoma na wewe kesho utasema account imedukuliwa.kwanza umepiga mswaki asubuhi hii kama unanukisha mdomo JF
ile Kauli ya RAGE tutaongeza neno Pro-Max iwe Mbumbumbu Pro-Max😂😂😂Hahahahaha...sasa hao ndio wenyewe walengwa wa Rage...
Endelea kufanya uchunguzi wa Threads zao..utaelewa tu ...
Hahahahaha..na humu ndio yamejaa hayo ma mbumbumbu..mijinga jingaile Kauli ya RAGE tutaongeza neno Pro-Max iwe Mbumbumbu Pro-Max😂😂😂
Kama muuza bange vile, anajificha mnooKama sio kipigo alichotoa Yanga kwa ile timu ya Algeria, huu uzi ungekua na paragragh zaidi ya tano.
Siku mbili hizi anapost kwa wasiwasi sana.
Slogan ya BAKWATA ni "Jitambue, badilika, acha mazoea"Kila la Kheri National Al Ahly FC mechi yao ya mwisho ya CAFCL huko Kwao Weekend hii japo bado sijajua anacheza na nani.
nachowapendea makolo ni kuto kujua kwao kwamba dua zao mbaya ni vicevesa kwetuKila la Kheri National Al Ahly FC mechi yao ya mwisho ya CAFCL huko Kwao Weekend hii japo bado sijajua anacheza na nani.
Wengi kama hawa hawajui mpira wanaandika vitu kwa hisia...nachowapendea makolo ni kuto kujua kwao kwamba dua zao mbaya ni vicevesa kwetu
tutapambana naoKila la Kheri National Al Ahly FC mechi yao ya mwisho ya CAFCL huko Kwao Weekend hii japo bado sijajua anacheza na nani.
Nacheka huku nikiwa mkononi mwa polisi wala rushwaKama sio kipigo alichotoa Yanga kwa ile timu ya Algeria, huu uzi ungekua na paragragh zaidi ya tano.
Siku mbili hizi anapost kwa wasiwasi sana.
Yaani kwa miaka 40 kufuzu mara ya kwanza mnajiona mshakuwa mabingwa??acha ushamba.Kuna watu bado wanawaza kufuzu....kweli hatufanani
na we acha ukulima vunja rekodi ndo uje ubweke hapa............kwa hilo povu sindano imeingiaYaani kwa miaka 40 kufuzu mara ya kwanza mnajiona mshakuwa mabingwa??acha ushamba.
Nitaukweka ( Nitakunya ) mubashara ( Live ) mchana kweupe Mapinga hadi Kibiti.Kwa mara ya kwanza Ahly atafungwa akiwa sebuleni kwake.
Nimeoteshwa kuwa Yanga itashinda 3:0