Ninachowapendea Al Ahly wao hata wakiwa Wameshafuzu kutoa Kipigo Kitakatifu kuko pale pale tu

Hiyo mechi kila mtu anatafuta nafasi ya kwanza ili acheze na Timu dhaifu za pili kama vile Simba na ndugu zake kwa hiyo mechi itakua na ushindani sana maana ukiwa wa pili unaweza kukutana na Petro au Mamelodi wakishinda na Mazembe shida yenu watu wengi wa Simba mpira hamjui kabisaa...
 
Back
Top Bottom