GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,738
- 109,177
Kwa mfano GENTAMYCINE nina Taarifa za uhakika kuwa kuanzia Keahokutwa ( Jumanne ) Klabu ya Al Ahly itatuma Majasusi wake Wawili ambapo Mmoja atakuwa na Kazi tu ya Kuisoma na Kufuatilia Simba SC yetu ( yangu ) popote pale ikicheza ili Kuisoma Kiufundi na kutoa Taarifa Kwao Misri na Mwingine atakuwa na Jukumu la Kupeleleza Hotel nzuri na Kiwanja kizuri cha Mazoezi kwa ajili ya Timu yao.
Nawaonyeni mapema ( hasa Uongozi ) kuwa msidhani Al Ahly safari hii watakuja Kizembe na Kichwakichwa hivyo tujikite zaidi kuiandaa Timu yetu Kisayansi ( Kiufundi na Kimkakati ) na hao Waganga wetu watumike pale tu Timu ikiwa imeshaiva Kiufundi ili Kuirahishisha Mechi.
Tusijidanganye kwa Kauli za Kihistoria kuwa sijui Kwa Mkapa hatoki Mtu kwani kwa nilivyowaona hawa Al Ahly ( hasa Kiufundi na Kiuchezaji ) Kauli inaweza kubadilika na kuwa Kwa Mkapa Stadium tarehe 20 Oktoba, 2023 tumekufa Hamsa na Kwao tarehe 24 Oktoba, 2023 tutaenda Kufa Hamsa zingine kisha tutaanza kusema Yanga SC wametufitinisha kwa Wivu wao na Kufungwa / Kutolewa ramsi African Football League ( AFL )
Tuwe makini mno na tujipangeni Ok?
Nawaonyeni mapema ( hasa Uongozi ) kuwa msidhani Al Ahly safari hii watakuja Kizembe na Kichwakichwa hivyo tujikite zaidi kuiandaa Timu yetu Kisayansi ( Kiufundi na Kimkakati ) na hao Waganga wetu watumike pale tu Timu ikiwa imeshaiva Kiufundi ili Kuirahishisha Mechi.
Tusijidanganye kwa Kauli za Kihistoria kuwa sijui Kwa Mkapa hatoki Mtu kwani kwa nilivyowaona hawa Al Ahly ( hasa Kiufundi na Kiuchezaji ) Kauli inaweza kubadilika na kuwa Kwa Mkapa Stadium tarehe 20 Oktoba, 2023 tumekufa Hamsa na Kwao tarehe 24 Oktoba, 2023 tutaenda Kufa Hamsa zingine kisha tutaanza kusema Yanga SC wametufitinisha kwa Wivu wao na Kufungwa / Kutolewa ramsi African Football League ( AFL )
Tuwe makini mno na tujipangeni Ok?