GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,694
- 109,130
Kila la Kheri National Al Ahly FC mechi yao ya mwisho ya CAFCL huko Kwao Weekend hii japo bado sijajua anacheza na nani.
Kuna watu wana vichwa vigumu kama jiwe.Kila la Kheri National Al Ahly FC mechi yao ya mwisho ya CAFCL huko Kwao Weekend hii japo bado sijajua anacheza na nani.
Tena ule wa nyani mmojaKuna watu wana vichwa vigumu kama jiwe.
NB: Wakiwa wengi ni wekundu wa msimbazi, akiwa mmoja ataitwaje?
Mkuu wa msimbaziKuna watu wana vichwa vigumu kama jiwe.
NB: Wakiwa wengi ni wekundu wa msimbazi, akiwa mmoja ataitwaje?
Tulikusubiria jumamosi saa tatu kama ulivyo sema ila haukuja mnapayuka wakati mpira hamuhujui. Sasa subiria na huyu na mpakata palepale nyumbani kwakwe.Kila la Kheri National Al Ahly FC mechi yao ya mwisho ya CAFCL huko Kwao Weekend hii japo bado sijajua anacheza na nani.
Ngoja tutajua JumamosiKila la Kheri National Al Ahly FC mechi yao ya mwisho ya CAFCL huko Kwao Weekend hii japo bado sijajua anacheza na nani.
Post zako nyingi ni za jutafuta attention, huna unacho jua kuhusu mpira, endelea kutafuta attentionKila la Kheri National Al Ahly FC mechi yao ya mwisho ya CAFCL huko Kwao Weekend hii japo bado sijajua anacheza na nani.
Wale ni wawakilishi wa Bara la Africa kwenye klabu bingwa ya Dunia, wanapaswa kushinda ili kuheshimisha bara letu.Kila la Kheri National Al Ahly FC mechi yao ya mwisho ya CAFCL huko Kwao Weekend hii japo bado sijajua anacheza na nani.
mwenye kichwa kigumu mmoja, ni mwenye kichwa kichwa kihuni mmoja.Kuna watu wana vichwa vigumu kama jiwe.
NB: Wakiwa wengi ni wekundu wa msimbazi, akiwa mmoja ataitwaje?
Hahahahaha...sasa hao ndio wenyewe walengwa wa Rage...KAMA KUNA MTU ANAITUMIA VIZUR IBARA YA 18 BASI NI WEWE POPOMA😂😂😂😂
Una wish iwe hivyo....kweli adui yako muombee njaa....basi sawa tuoneKila la Kheri National Al Ahly FC mechi yao ya mwisho ya CAFCL huko Kwao Weekend hii japo bado sijajua anacheza na nani.