Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 7,365
- 11,255
Huku vita kati ya Hamas na Israel vikikaribia kuvuka miezi 7 siri zaidi za udhaifu wa jeshi la Israel zinaendelea kufichuka.
Pamoja na kusifiwa kwa ubora wa vifaa na ukubwa wa jeshi la Israel imeelezwa kuwa jeshi hilo limekuwa likijitia hasara kubwa kwa kuua askari wake na kuangusha droni zake kwa asilimia 40.
Mara zote hizo jeshi hilo limekuwa likifanya hivyo bila kukusudia wakidhani ni droni za Hamas zikikaribia kuwafikia walipo.Jambo hilo limekuwa likiongeza hasara za kivita kwa kiwango kikubwa sana.
Uchunguzi uliofanywa na vyombo vya habari vya Israel ulibaini makosa kama hayo yalifanyika siku ya mwanzo ya oktoba 7 pale Hamas walipofanya mashambulizi ya kushtukiza.
Baadhi ya matukio machache ya hasara kama hizo ambayo yaliwahi kufichuka ni pale jeshi la Israel lilipoua mateka 3 wa Israel waliokuwa wakijaribu kujiokoa huku jeshi hilo likiwahofia ni wapiganaji wa Hamas.
Ukweli wa Israel kujipiga yenyewe na kudondosha asilimia 40 ya droni zake umeelezwa na afisa mmoja wa jeshi la Marekani akitaja kuwa na takwimu za kutoka jeshi la Israel lenyewe.
Pamoja na kusifiwa kwa ubora wa vifaa na ukubwa wa jeshi la Israel imeelezwa kuwa jeshi hilo limekuwa likijitia hasara kubwa kwa kuua askari wake na kuangusha droni zake kwa asilimia 40.
Mara zote hizo jeshi hilo limekuwa likifanya hivyo bila kukusudia wakidhani ni droni za Hamas zikikaribia kuwafikia walipo.Jambo hilo limekuwa likiongeza hasara za kivita kwa kiwango kikubwa sana.
Uchunguzi uliofanywa na vyombo vya habari vya Israel ulibaini makosa kama hayo yalifanyika siku ya mwanzo ya oktoba 7 pale Hamas walipofanya mashambulizi ya kushtukiza.
Baadhi ya matukio machache ya hasara kama hizo ambayo yaliwahi kufichuka ni pale jeshi la Israel lilipoua mateka 3 wa Israel waliokuwa wakijaribu kujiokoa huku jeshi hilo likiwahofia ni wapiganaji wa Hamas.
Ukweli wa Israel kujipiga yenyewe na kudondosha asilimia 40 ya droni zake umeelezwa na afisa mmoja wa jeshi la Marekani akitaja kuwa na takwimu za kutoka jeshi la Israel lenyewe.