Ninachokichukia ndani ya Mabasi ya Safari

Ninachokichukia ndani ya Mabasi ya Safari

mbona umesahau kwaya ?zitapigwa njia nzima mpaka mtakoma,

kuna kitu kimoja nimejifunza kwa watanzania,wengi wao wanaamini kila mtu duniani anapenda muziki kumbe tofauti kabisa wengi hawapendi muziki mmoja wao mimi sipendi kabisa
 
Kumbe tuko wengi
Halaf karibia mabasi yte mamiziki yao yanafanana tu
 
Hiyo x3 ni 2.5 engine, 240 speed mwendo wa gesi hapo ingekuwa nchi za wenzetu unaenjoy cruise ila hapa kwetu barabara mbovu hata 140 unaogopa kufikisha

120 hapa ndio mwisho.... hatuna barabara kwa ajili ya high speed ss
 
mbona umesahau kwaya ?zitapigwa njia nzima mpaka mtakoma,

kuna kitu kimoja nimejifunza kwa watanzania,wengi wao wanaamini kila mtu duniani anapenda muziki kumbe tofauti kabisa wengi hawapendi muziki mmoja wao mimi sipendi kabisa


umeonaeeh...yaani wanarudia rudia wee...wanadhani wote ni wapenzi ,,,nyimbo nyingine tulishazichoka
 
Kumbe tuko wengi
Halaf karibia mabasi yte mamiziki yao yanafanana tu

nadhani zile flash zao ni copy and pasted,,,zijui pia wanaigiana kwa zile bongo movies?
 
Novel n sawa lkn wakat mwngne yale makelele yao wala huwez soma

unaweza usisome kabisa,,saa zingine gari lipo speed concertration inapungua....au mtu afungue dirirsha upepo uingie kwa kasi ndio bassi tena
 
Kuna basi nilipanda kutoka Mwanza kwenda walinifurahisha sana kwa kuweka movie ya
WRONG TURN kwanzia part 1 mpaka 4...
Ila kuna akina mama walikua hawataki kabisa lakini Konda akaweka pamba maskioni.
Safari ilikua nzuri mno maana hizo movies ni horror za maana.
 
Kuna basi nilipanda kutoka Mwanza kwenda walinifurahisha sana kwa kuweka movie ya
WRONG TURN kwanzia part 1 mpaka 4...
Ila kuna akina mama walikua hawataki kabisa lakini Konda akaweka pamba maskioni.
Safari ilikua nzuri mno maana hizo movies ni horror za maana.

ndio hicho sasa unakuta ww unapenda kuangalia waje jamaa zangu wa WEST VIRGINIA wenye unga kichwani na shoka mkononi lakini wakina mama hawataki,,,mm wakiweka movie kama hizo nitafurahije,,,lakini kwa bahati mbaya naotea taarabu
 
wewe sindio umetoa uzi wako mmu
unaosema umewapigia mademu zako 11 wazamani kuwa omba tena game...
basi hakuna tatizo...tafuta hela ununue gari lako sisi hatuna lakukusaidia kijana
 
wewe sindio umetoa uzi wako mmu
unaosema umewapigia mademu zako 11 wazamani kuwa omba tena game...
basi hakuna tatizo...tafuta hela ununue gari lako sisi hatuna lakukusaidia kijana

🙁🙁🙁
 
Kama wewe hupendi wapo wengine wanaopenda hizo movies na music videos. Jifunze uvumilivu huwezi kufurahishwa wewe tu kila siku kwa kila kitu
 
Kama wewe hupendi wapo wengine wanaopenda hizo movies na music videos. Jifunze uvumilivu huwezi kufurahishwa wewe tu kila siku kwa kila kitu

kuna watu humo ndani wanaopenda kurudia rudia mziki mmoja? yaani saa 2 asubuhi wanarudia ,saa 7 na saa 10?mhh
 
kuna watu humo ndani wanaopenda kurudia rudia mziki mmoja? yaani saa 2 asubuhi wanarudia ,saa 7 na saa 10?mhh
Binadamu hatujawahi fanana kwa kila kitu cha muhimu ni uvumilivu hasa sehemu public. Kama ndani ya bus wameweka movie ambayo wewe inakukera kuna mwingine ndio his favorite movie anaweza angalia all day long, mimi kuna albums naweza sikiliza siku nzima hasa nikiwa kwa gari so jifunze uvumilivu vinginevyo itabidi uanze kusafiri privately
 
Back
Top Bottom