Ninachokichukia ndani ya Mabasi ya Safari

Ninachokichukia ndani ya Mabasi ya Safari

jay311, hiyo ni fursa. Anza biashara ya kushauri wenye mabasi kuhusu in-bus entertainment.

Fuatilia kwa kina namna wasafiri wanaweza kuburudishwa na pitia kampuni zote unazodhani hazifanyi vizuri kwenye hilo uwashauri na upate chochote kusukuma maisha.

Fursa huja kwa njia nyingi. Mojawapo ni kwa kupata hasira/kuudhiwa so unajitahidi kubadili hali na unatengeneza utajiri.

Nicheki PM tuiweke sawa km unahitaji na kama unapenda kutumia akili nyingi kutatua kuliko kulalamika.
 
jay311, hiyo ni fursa. Anza biashara ya kushauri wenye mabasi kuhusu in-bus entertainment.

Fuatilia kwa kina namna wasafiri wanaweza kuburudishwa na pitia kampuni zote unazodhani hazifanyi vizuri kwenye hilo uwashauri na upate chochote kusukuma maisha.

Fursa huja kwa njia nyingi. Mojawapo ni kwa kupata hasira/kuudhiwa so unajitahidi kubadili hali na unatengeneza utajiri.

Nicheki PM tuiweke sawa km unahitaji na kama unapenda kutumia akili nyingi kutatua kuliko kulalamika.


nimekuelewa lakini sio wataniona kama mpiga debe fulani kweli? ?
 
aya kaka,,,bitajitahidi kuwa naweka videos za kutosha kwenye simu
Mi sio kaka lakini.
Jimena/Ximena (inatamkwa Himena) ni jina la kike asili yake ni hukooo wanakoongea kispanish
 
huwa nakuwaga na magazet hata mawili ila nasoma kwa muda kidogo tu nakuwa nimemaliza...vitabu ndio sijawahi kufikiria kutembea navyo
Utabeba vipi vitabu wakati ndiyo hulka yetu 'niggaz' vitabu na sisi ni kama mgonjwa na stori za kifo.
 
Utabeba vipi vitabu wakati ndiyo hulka yetu 'niggaz' vitabu na sisi ni kama mgonjwa na stori za kifo.

haha,,mkuu umegeneralize sana,,,we unadhani vitabu gani ndio unaweza kusoma bila kuchoka? philosophy? motivational?
 
Mi sio kaka lakini.
Jimena/Ximena (inatamkwa Himena) ni jina la kike asili yake ni hukooo wanakoongea kispanish

ooh am vey sorry mdada,,,samahani sana!! waispaniola hawana j kwenye pronunciation zao. ja=ha
 
nisichokipenda ni ile mmefika kwenye mizani mnaambiwa tunaomba abiria mliokaa huko nyuma msogee mbele ili tusipigwe faini...ya kuzidisha uzito.....
 
nisichokipenda ni ile mmefika kwenye mizani mnaambiwa tunaomba abiria mliokaa huko nyuma msogee mbele ili tusipigwe faini...ya kuzidisha uzito.....

teh TEH... bila shaka ww unapandaga SHABCO au MBAZI... KWELI AU SI KWELI?
 
Back
Top Bottom