Ninachokichukia ndani ya Mabasi ya Safari

Ninachokichukia ndani ya Mabasi ya Safari

Wananikera sana..Isitoshe mimi sio mpenzi wa comedy za bongo na bongo movie..Ndio maana sisahau Dr Dre zangu nikisafiri safari za mbali na mabasi ya mikoani..
 
Wananikera sana..Isitoshe mimi sio mpenzi wa comedy za bongo na bongo movie..Ndio maana sisahau Dr Dre zangu nikisafiri safari za mbali na mabasi ya mikoani..

mkuu unataka uniambie hata zile movie za gabo wanazoziwekaga hauziangalii?
 
Sipendi kuona mda wote wameweka movie za wanyama vile wanavyofukuzana.
 
Muombe mungu wako, akupe nguvu ufanye kazi kwa bidii ili uweze kununua kilimo kwanza ili iwe unasafiri privet, hakuna mtu atakupangia kumuangalia Mzee majuto
Kijana fanya kazi nikuuzie mzigo huo uachane na kero za manasi
 

Attachments

  • image.jpeg
    image.jpeg
    21.9 KB · Views: 23
aseeh bonge moja la gari,,yaani 120km/h nafika mombo kwa masaa matatu tu
Hiyo x3 ni 2.5 engine, 240 speed mwendo wa gesi hapo ingekuwa nchi za wenzetu unaenjoy cruise ila hapa kwetu barabara mbovu hata 140 unaogopa kufikisha
 
Mkuu soma vitabu hakikisha unakuwa na novel nakuambia utaifurahia safar yako.
 
Back
Top Bottom