afadhaliMiaka yetu ya zamani ukipata siti tu unashukuru safari itakua nzuri
Ndio mkuu,mpaka dakika hii nipo online tuh mpaka nijilazimishe usingizi
Wewe kama mimi, ila nataka nijitahidi niwe nasoma soma vitabu.sio mpenzi kwa kweli labda kama ntaanza kujisomea vitabu,,kitabu cha mwisho hata sikumbuki nimejisomea lini
Ujue kila mtu ana hobby yake....abiria wote hao zaid ya 50 itawezekana kuwafurahisha wote hao? Acha ubinafsi kuja kulalamika humu huo ni ubinafsi to the highest degree
Yaah mnasafiri dar mwanza siku 3 na masufuria yapo ngoma ikigoma sekenke mnapika kisha kusubiri majaaliwa.Miaka yetu ya zamani ukipata siti tu unashukuru safari itakua nzuri
Movies hasa za kibongo ni kero sana. Kila movie mapenzi. Dar hadi Mwanza movie inarudiwa mara nne. Yakianza ma movie yao mi natazama mandhari nje au nachapa usingizi.
kunywa dawa za usingizi pia kumbuka kumwambia konda unashukia wapi. kero zote za bongo muvi, watu kutapika hovyo, watoto kulialia, dereva kukata kona ki ajabu ajabu na zile breki za ghafla utasimuliwa tu. ni kama time travelling