Umenikumbusha machungu, leo kuna dogo wamemkamata wameenda nae mnaz mmoja kosa halipi kodi ofis yenyewe hata laki mbili za mtaji haifiki ni saloon kiti elf40 vile vya kuunga, mashine ya kunyolea elf30, kioo 40elf na benchi la kukalia wateja wamemwambia kila mwenye frem lazima alipe kodi na kaambiwa alipe 155400,sasa sijui watampeleka polisi manake wameenda nae,swali langu lipo hapa kama wanaotakiwa kulipa kodi wanatakiwa wawe na mitaji ya ml4 hawa wasiofikisha mitaji hiyo hela zao zinaenda wapi?na kwanini wasifanye hivyo kama sheria yao inavyosema? manake pale hivyo vitu vinahesabika hata kwa kukisia tu unajua hapa hakuna hata laki 3 mbona tunaoneana hivyo?mkuu tuko pamoja sitolipa kodi ya aina yoyote na mengine ntakayofanya najua mwenyewe .
tatizo lugha