harakati zinaendelea vyema, hekaheka za hapa na pale , hatulali, Tangu Juzi tupo himahima, nimesoma mawazo ya wachangiaji humu, nashukuru kwa ushauri wenu.Wakuu wa huko Nyamagana ebu tupeni habari hata kama ni mbaya najua kuna tatizo kidogo hapaJF ,habari mbaya haziletwi kabisa !
Wadau mpaka sasa sioni mfumo wala harakati za nguvu za Wenje kujihakikishia ushindi hapa Nyamagana. Naanza kupata wasi wasi kama atashinda ingawa Masha hapa Nyamagana hatakiwi kabisa.
Huyo wenje ndie nani hasa?
Huyo wenje ndie nani hasa?