dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,243
- 54,947
vipi, mke kuchepuka hapo hajamdhalilisha mumewe ?Ulilipa mahari ya udhalilishaji?
vipi, mke kuchepuka hapo hajamdhalilisha mumewe ?Ulilipa mahari ya udhalilishaji?
Hata kama ni ndugu zake sio ki rahisi hivyo huyo ni mkeo na hizo sababu za kuitwa ulipaswa uzielewe.Mkuu nilimruhusu sababu yakusema ameitwa na dadazake but haijulikani nini shida kwakuwa ni familia yake nikamruhu aende ili tujue nini shida huko
Kagua simu mara tu afikapo.Mkuu najijua mi nimtu niko na hasira sana ila staki kujua hilo maana daah
Nilimuacha aende ili nije kumuoji vizur nini shida ya huko mkuu
Rekebisha kidogo, " ulikumbuka kutumia kondom""Achana nae usimuulize kitu ila mtumie sms kuwa "uwe unakumbuka kutumia kondomu"
Daah baada ya kusoma huu uzi ghafla nimejikuta namkumbuka mandonga....anyway hizi ndizo effect za umandongaism kwenye real
Acha tu mie saizi upendo wangu najua nitapeleka wapi wabongo wanachoshaga sanaMapenzi yanaumiza sana,mie kuna binti nipo nae kwenye mahusiano ni Mwaka sasa-anaishi na Dada yake huwa ananieleza hawezi kutoka kwai mwisho kutoka kwao ni SAA 12 jioni.Mungu sio mzee mkumba Jana nimekutana nae katika grocery moja mida ya SAA 4 usiku akiwa na majamaa 2.Badaye namuuliza ananiambia ni marafiki zake kwa kweli nilihisi kuzimia mwili wote ulikosa nguvu ,Leo siku nzima sijalala kwa kweli.
Yasikie kwa watu tu niliwahi kumpeleka shule binti Mmoja form 2 Hadi form six yupo fresh to ile amefika university niliona rangi zoteDah!!! , wamejua kukujaza upepo umu ndani. Nahisi akirudi unaweza kuua Mana si kwa hasira ulizojazwa . ..ushauri ni bure Ila akili ni kumkichwa....vya kuambiwa changanya na mawazo yako....
Chonde chonde, punguza jazba...usije ukachukua maamuzi magumu, jela hautakuwa na mtu humu, utapambana mwenyewe .....kuwa na hekima tafadhali.
Umefeli sana hujakomaa kiakili na mkeo anakumudu sana, badala ya kuchukua namba ya waliomuita uulize, kimsingi mwenye shida na mkeo anapaswa akupigie wewe ndio uambiwe shida, mkeo yuko ndani ya himaya yako, huyo mwanamke anakumudu sana, pole sana sana. Usikute hujatrack location ya simu ya mkeo muda wote unadanganywa.Hapana mkuu huwa naamua lakini hii sikutaka ku doubt coz nikimkataliga safar analalamika na kuona namuonea lakini pia nikwasababu tu kaeleza kuwa kaitwa na hajui nini shida kwa heshima tu za mashemeji nikamuacha aende ili akirud anieleze vizur hicho kilichomfanya akaitwa huko
Kwani mzee baba wewe ukiwa kama mwanamume aliyekamilika hauna kabisa michepuko?Habar wana JF,
Naimani mko wazima.
Kiukweli nimekuwa na wasiwasi na safari ya wife, sijui kwanini lakini ni safari ambayo siielewi kabsa wakuu. Nina mashaka nayo coz naona mapicha picha tu.
Ni kwamba wife kasafiri juzi ijumaa kuelekea Singida lakini safari yake sielewi elewi kabisa, kwasabubu kwanza ni safari ya kushtukiza lakini pia mpaka now sielewi aim ya safari ni nini mpaka now.
Alhamisi amerudi kutoka kazini usiku tunalala ndiyo ananipa taarifa ya kuwa kesho Ijumaa anasafiri, nikamuuliza unaenda wap? Akaniambia kapigiwa simu na dada zake wamemuita ambao wanakaa Singida. Nikamuuliza kunatatizo akasema hapana, ila sijui wanashida gani na mimi ndiyo wamenipigia simu niende.
Kiukweli nilikuwa nimechoka nahitaji kupumzika, sikutaka ku complicate kitu, nikamjibu sawa nikalala. Then asubuhi nikajiandaa nikaenda kazini vizur. Niko job ananipigia simu kuwa ndiyo anatoka home anaelekea stendi kupanda bus. Iikuwa almost kama saa 7 hivi mchana nikamjibu haya na nikamuuliza kama kunakitu chochote anahtaji akasema hapana yuko powa.
Basi nikakata simu lakini kiukweli ghafla akili yangu ilishikwa na wasiwasi juu ya safari yake but sikutaka ku doubt anything nikapotezea. Baadaya kupita kama lisaa akanitumia message kuwa amepata basi but akifika Dodoma atashuka kuna ndugu yake anamchuka then wanaenda wote.
Daah, sikutaka pia ku doubt wala mambo mengi nikamjibu sawa, nikaachana naye nikaendelea na kazi zangu, but bado sikuona sababu ya yeye kushuka Dodoma. By saa 2 ndiyo ananiambia ndiyo wanaondoka Dodoma nikamjibu sawa safari njema tukaacha hivyo. Basi mi nikarud home usiku kwakuwa nilishapita somewhere nikapata chakula nikafika home niko good, nikaoga nikaingia kwa bed nikampigia ananiambia kashafika ila kachoka na safari nikamuacha nikapumzika.
Sasa leo Jpili tumeongea asubuh vizur tu na tukaagana baadae by saa 7 mchana ananiambia ndiyo anataka kurudi leo. Nikamuuliza mbona hukuniambia asubuhi na kwanini usingeondoka asubuhi? Sijaona cha maana anachonijibu, basi nikamwambia haya kama unarudi leo. Tuakaacha baada ya kama nusu saa ananipigia simu ananiambia kuwa yupo stendi, mara gari sijui hakuna, mara zimejaa, mara nimechoka nasikia usingizi, nikamwambia sasa siungebaki ili uondoke kesho asubuhi akasema sawa tukaacha.
Baadae ananitumia message eti amepata gari ila linaishia Dodoma kwaiyo atashuka Dodoma. Aloo nikasema kimoyomoyo hapo Dodoma hapo siyo bure, coz kwenda kashuka Dodoma kurudi baada arud kesho kama kweli kakosa usafiri na tumekubalina anarudi kesho mapema na sidhani kama kweli alikosa usafiri by that time ananiambia kuwa kapata usafiri.
Ila unaishia Dodoma so ataenda kulala Dom, sikutaka ku complicate nikamjibu sawa basi nikaachana nae. Ila cha ajabu baada ya hapo akawa kimya hakusema kama kafika au laa. Yaani ndo ananitumia text saa hii, saa 5 usiku kuwa alifika salama ila alishindwa kuniambia coz vidonda vya tumbo vilimshika akafikia kupumzika. Heheheh nacheka ila najua mwenyewe wakuu but sijamjibu na sitamjibu lakini namsubiri arudi kesho nikitoka kazini anieleze vizuri kuhusu hii safar yake.
Japokuwa mimi siyo mtu wa kumchunguza mwanamke na sipendi kabisa kuchunguza mtu sababu naelewa what’s gonna happen.
Wakuu kama kuna la kuniongezea karibuni sana, uwanja ni wenu.
Una ushahidi usiyo na shaka yoyote?vipi, mke kuchepuka hapo hajamdhalilisha mumewe ?
Ndo hivyo na wa kwako now anakata mauno tuDaah yaan hayo maumivu ya jamaa nahsi mbaka mimi naya sikia maana hiyo stor hapana wazee unaweza ukapiga mtu risasi
Nipe mimi huo upendoAcha tu mie saizi upendo wangu najua nitapeleka wapi wabongo wanachoshaga sana
Nikweli wananijua wote lakini hii safari ni mimi ndo nimeitilia mashaka mkuu