Nina wasiwasi na mke wangu...

Inaonekana huu ni ugonjwa ulioulea mwenyewe na ndio unakutafuna sasa. Mkeo anakuaga usiku kuwa anasafari asubuhi na we unamuitikia tu? Hahaa! Safari ya siku kadhaa nje ya mkoa na it's okay with you? Unajua kinachiendelew huko Dom na inauma sana but kwa mtazamo wangu, Deal with it.
Kuku ashaliwa yamebaki manyoya,ata deal nae Vipi?.
 
Hapana mkuu huwa naamua lakini hii sikutaka ku doubt coz nikimkataliga safar analalamika na kuona namuonea lakini pia nikwasababu tu kaeleza kuwa kaitwa na hajui nini shida kwa heshima tu za mashemeji nikamuacha aende ili akirud anieleze vizur hicho kilichomfanya akaitwa huko
Ungewapigia Shemeji zako kwanza ili kufanya confirmation.
 
Hapana mkuu huwa naamua lakini hii sikutaka ku doubt coz nikimkataliga safar analalamika na kuona namuonea lakini pia nikwasababu tu kaeleza kuwa kaitwa na hajui nini shida kwa heshima tu za mashemeji nikamuacha aende ili akirud anieleze vizur hicho kilichomfanya akaitwa huko
Kwanini ukuwauliza walimuita wamemuitia nini? Na pia kwanini wasimuombee ruhusa kwako? Ulitakiwaa kuonyesha kuwa wewe ndio mwenye maamuzi, hivyo ungewapigia simu na kuwakatalia kuwa haji, kama kuna chochote wamwambie kwa simu, kwisha.
 
Mapenzi yanaumiza sana,mie kuna binti nipo nae kwenye mahusiano ni Mwaka sasa-anaishi na Dada yake huwa ananieleza hawezi kutoka kwai mwisho kutoka kwao ni SAA 12 jioni.Mungu sio mzee mkumba Jana nimekutana nae katika grocery moja mida ya SAA 4 usiku akiwa na majamaa 2.Badaye namuuliza ananiambia ni marafiki zake kwa kweli nilihisi kuzimia mwili wote ulikosa nguvu ,Leo siku nzima sijalala kwa kweli.
 
Inaonekana ni mtu usiependa kuongea, mabishano, kero kero wala stress. Jamaa inaonekana umepoa sana ndo maana hukutaka kuhoji sana, huwa tunachukulia vitu easy tu na hata kuja na majibu mepesi tu kama "aya", "poa", "haina shida" etc

Kuna bro mmoja wife wake alitoka tu akaenda sehemu bila taarifa, jamaa akamwambia usitoke hapo mpaka nije nihakikishe ni kweli upo hapo. Noma iliyotokea, tangu siku hiyo yule dada haendi mbali bila kutoa taarifa hata kama bro kasafiri. Hata kama nyumbani kwao kuna tukio, mama ake ndio huwa anampigia simu bro na tukio liwe la msingi.

Hawa wanawake aiseee ukiwa ronya ronya hutoboi, yani ni kwenda nao mkono wa chuma tu ukijikuta mzungu sana utadombewa mpaka na watoto wa chuo!
 
Hivi mke anasema kuwa kesho nasafiri mkuu Na wewe unamruhusu Mimi ningemwambia SEMA hakuna hyo Mimi tu ndo Nina mandatory ya kusema kesho nasafiri ila syo mke
 
mzee inaonekana wewe unalelewa na wife ndo head of the family huwezi ruhusu ujinga huo..wife ana safiri na sababu za safari hazina kichwa wala miguu ni ufalaa sanaa wewe UNALELEWA wewe ndo umeolewa hapo...KWISHA HABARI..na hapo Dom kuna kidume kinakutombea mno mno aisee... So SAD..!!!
 
Inaonekana ni mtu usiependa kuongea, mabishano, kero kero wala stress. Jamaa inaonekana umepoa sana ndo maana hukutaka kuhoji sana, huwa tunachukulia vitu easy tu na hata kuja na majibu mepesi tu kama "aya", "poa", "haina shida" etc

Kuna bro mmoja wife wake alitoka tu akaenda sehemu bila taarifa, jamaa akamwambia usitoke hapo mpaka nije nihakikishe ni kweli upo hapo. Noma iliyotokea, tangu siku hiyo yule dada haendi mbali bila kutoa taarifa hata kama bro kasafiri. Hata kama nyumbani kwao kuna tukio, mama ake ndio huwa anampigia simu bro na tukio liwe la msingi.

Hawa wanawake aiseee ukiwa ronya ronya hutoboi, yani ni kwenda nao mkono wa chuma tu ukijikuta mzungu sana utadombewa mpaka na watoto wa chuo!
Nmeipenda sana io
 
mkuu kwanza nakuomba muulize haya mswali kisha naomba feedback akikujibu usisahau.
1: muombe tiketi zote alizo panda kwenda huko kuja na kuondoka angalia na mda alio safiri kama ni kweli au laaaaaa

2: wakati unaongea nae omba namba za dada yake mmoja au wawili wapigie kwa kutumia number yako waulize maswali ya trick kujua kama kweli alifika au laaaa

3: kama ikiwezekana na omba hiyo number ya ndugu yake alie kutana nae dodoma

bomuu hili
 
Wewe jamaa unaendeshwa na mkeo! 95% wew ni mvulana na sio mwanamume, unamruhusu mkeo kujiendesha wakati wew muamuz upo
 
Back
Top Bottom