wazee ndio mbinu zao hizo nakupeni, hapo zaman
Asporudi atarudia tena safari yake ya mchongo...!!Aiseee amekwisha labda asilud home
Piga chiniMapenzi yanaumiza sana,mie kuna binti nipo nae kwenye mahusiano ni Mwaka sasa-anaishi na Dada yake huwa ananieleza hawezi kutoka kwai mwisho kutoka kwao ni SAA 12 jioni.Mungu sio mzee mkumba Jana nimekutana nae katika grocery moja mida ya SAA 4 usiku akiwa na majamaa 2.Badaye namuuliza ananiambia ni marafiki zake kwa kweli nilihisi kuzimia mwili wote ulikosa nguvu ,Leo siku nzima sijalala kwa kweli.
Demi kwanini mnatufanyie hivyo lakiniUpo tayari kumuacha ukigundua ameliwa?
Aiseee embu acha kutukatisha tamaa me nampango wa kuoa mwakaniUsioe,usioe tena usioe ili kuhepukana na Mambo Kama haya. Ona Sasa Mimi nimekaa kwa amani kabisa ila huyu bwana muda huu anateseka.
Nikuibie tu siri kuwa huyo dada kaliwa na mume wa mtuDemi kwanini mnatufanyie hivyo lakini
Acha hizoAiseee watu wengine kama hamjaoa hata msioe.
Sasa mtu anatamka kuua kirahisi rahisi si bora asioe ijulikane moja.Acha hizo
Na biashara yenyewe ni hapo nje ya nyumbani na umemzalisha watoto wanamzunguka hapo... Dunia imekua ya hatari sana dhidi ya hawa watuwanawake walioajiriwa ni hatari sana
heri uingie gharama umfungulie biashara
Huna chako hapo.Mapenzi yanaumiza sana,mie kuna binti nipo nae kwenye mahusiano ni Mwaka sasa-anaishi na Dada yake huwa ananieleza hawezi kutoka kwai mwisho kutoka kwao ni SAA 12 jioni.Mungu sio mzee mkumba Jana nimekutana nae katika grocery moja mida ya SAA 4 usiku akiwa na majamaa 2.Badaye namuuliza ananiambia ni marafiki zake kwa kweli nilihisi kuzimia mwili wote ulikosa nguvu ,Leo siku nzima sijalala kwa kweli.
Me nahisi atakuwa ni x wake.Nikuibie tu siri kuwa huyo dada kaliwa na mume wa mtu
Wanawake ndivyo walivyo ndugu,unacho kihisi ndio halihalisi.Usiendelee kudadisi utafahamu mengi na kuishia kuleta maafa.Kwanini mkuu
Hiyo haifai bora asioe hadi akomae akiliSasa mtu anatamka kuua kirahisi rahisi si bora asioe ijulikane moja.
Vyovyote vile lakini ni mume wa mtu.Me nahisi atakuwa ni x wake.