Nina wasiwasi na mke wangu...

Habar wana JF,
Naimani mko wazima.

Kiukweli nimekuwa na wasiwasi na safari ya wife, sijui kwanini lakini ni safari ambayo siielewi kabsa wakuu. Nina mashaka nayo coz naona mapicha picha tu.

Ni kwamba wife kasafiri juzi ijumaa kuelekea Singida lakini safari yake sielewi elewi kabisa, kwasabubu kwanza ni safari ya kushtukiza lakini pia mpaka now sielewi aim ya safari ni nini mpaka now.

Alhamisi amerudi kutoka kazini usiku tunalala ndiyo ananipa taarifa ya kuwa kesho Ijumaa anasafiri, nikamuuliza unaenda wap? Akaniambia kapigiwa simu na dada zake wamemuita ambao wanakaa Singida. Nikamuuliza kunatatizo akasema hapana, ila sijui wanashida gani na mimi ndiyo wamenipigia simu niende.

Kiukweli nilikuwa nimechoka nahitaji kupumzika, sikutaka ku complicate kitu, nikamjibu sawa nikalala. Then asubuhi nikajiandaa nikaenda kazini vizur. Niko job ananipigia simu kuwa ndiyo anatoka home anaelekea stendi kupanda bus. Iikuwa almost kama saa 7 hivi mchana nikamjibu haya na nikamuuliza kama kunakitu chochote anahtaji akasema hapana yuko powa.

Basi nikakata simu lakini kiukweli ghafla akili yangu ilishikwa na wasiwasi juu ya safari yake but sikutaka ku doubt anything nikapotezea. Baadaya kupita kama lisaa akanitumia message kuwa amepata basi but akifika Dodoma atashuka kuna ndugu yake anamchuka then wanaenda wote.

Daah, sikutaka pia ku doubt wala mambo mengi nikamjibu sawa, nikaachana naye nikaendelea na kazi zangu, but bado sikuona sababu ya yeye kushuka Dodoma. By saa 2 ndiyo ananiambia ndiyo wanaondoka Dodoma nikamjibu sawa safari njema tukaacha hivyo. Basi mi nikarud home usiku kwakuwa nilishapita somewhere nikapata chakula nikafika home niko good, nikaoga nikaingia kwa bed nikampigia ananiambia kashafika ila kachoka na safari nikamuacha nikapumzika.

Sasa leo Jpili tumeongea asubuh vizur tu na tukaagana baadae by saa 7 mchana ananiambia ndiyo anataka kurudi leo. Nikamuuliza mbona hukuniambia asubuhi na kwanini usingeondoka asubuhi? Sijaona cha maana anachonijibu, basi nikamwambia haya kama unarudi leo. Tuakaacha baada ya kama nusu saa ananipigia simu ananiambia kuwa yupo stendi, mara gari sijui hakuna, mara zimejaa, mara nimechoka nasikia usingizi, nikamwambia sasa siungebaki ili uondoke kesho asubuhi akasema sawa tukaacha.

Baadae ananitumia message eti amepata gari ila linaishia Dodoma kwaiyo atashuka Dodoma. Aloo nikasema kimoyomoyo hapo Dodoma hapo siyo bure, coz kwenda kashuka Dodoma kurudi baada arud kesho kama kweli kakosa usafiri na tumekubalina anarudi kesho mapema na sidhani kama kweli alikosa usafiri by that time ananiambia kuwa kapata usafiri.

Ila unaishia Dodoma so ataenda kulala Dom, sikutaka ku complicate nikamjibu sawa basi nikaachana nae. Ila cha ajabu baada ya hapo akawa kimya hakusema kama kafika au laa. Yaani ndo ananitumia text saa hii, saa 5 usiku kuwa alifika salama ila alishindwa kuniambia coz vidonda vya tumbo vilimshika akafikia kupumzika. Heheheh nacheka ila najua mwenyewe wakuu but sijamjibu na sitamjibu lakini namsubiri arudi kesho nikitoka kazini anieleze vizuri kuhusu hii safar yake.

Japokuwa mimi siyo mtu wa kumchunguza mwanamke na sipendi kabisa kuchunguza mtu sababu naelewa what’s gonna happen.

Wakuu kama kuna la kuniongezea karibuni sana, uwanja ni wenu.
Daa hii ndoa yako itakua ya kikristo tuu ndio hua mnapata tabu sana na wake zenu kiasi hiki hivi Mimi dada wa mke wangu anamajukumu gani ya kumuita mke wangu pasipo kunitaarifu Mimi mwenye Mme achana na dada hata baba yake mzazi au mama yake lazima aniombe kwanza na Nina hiyari ya kukubali au kukataa
 
Hapana mkuu huwa naamua lakini hii sikutaka ku doubt coz nikimkataliga safar analalamika na kuona namuonea lakini pia nikwasababu tu kaeleza kuwa kaitwa na hajui nini shida kwa heshima tu za mashemeji nikamuacha aende ili akirud anieleze vizur hicho kilichomfanya akaitwa huko
Vp lakn uliongea na mashemej zako kujua ni kwel alikuw huko au ndo unamuamin sana kias kwamb huwez uliza unaogopa wige atakuonaje
 
Habar wana JF,
Naimani mko wazima.

Kiukweli nimekuwa na wasiwasi na safari ya wife, sijui kwanini lakini ni safari ambayo siielewi kabsa wakuu. Nina mashaka nayo coz naona mapicha picha tu.

Ni kwamba wife kasafiri juzi ijumaa kuelekea Singida lakini safari yake sielewi elewi kabisa, kwasabubu kwanza ni safari ya kushtukiza lakini pia mpaka now sielewi aim ya safari ni nini mpaka now.

Alhamisi amerudi kutoka kazini usiku tunalala ndiyo ananipa taarifa ya kuwa kesho Ijumaa anasafiri, nikamuuliza unaenda wap? Akaniambia kapigiwa simu na dada zake wamemuita ambao wanakaa Singida. Nikamuuliza kunatatizo akasema hapana, ila sijui wanashida gani na mimi ndiyo wamenipigia simu niende.

Kiukweli nilikuwa nimechoka nahitaji kupumzika, sikutaka ku complicate kitu, nikamjibu sawa nikalala. Then asubuhi nikajiandaa nikaenda kazini vizur. Niko job ananipigia simu kuwa ndiyo anatoka home anaelekea stendi kupanda bus. Iikuwa almost kama saa 7 hivi mchana nikamjibu haya na nikamuuliza kama kunakitu chochote anahtaji akasema hapana yuko powa.

Basi nikakata simu lakini kiukweli ghafla akili yangu ilishikwa na wasiwasi juu ya safari yake but sikutaka ku doubt anything nikapotezea. Baadaya kupita kama lisaa akanitumia message kuwa amepata basi but akifika Dodoma atashuka kuna ndugu yake anamchuka then wanaenda wote.

Daah, sikutaka pia ku doubt wala mambo mengi nikamjibu sawa, nikaachana naye nikaendelea na kazi zangu, but bado sikuona sababu ya yeye kushuka Dodoma. By saa 2 ndiyo ananiambia ndiyo wanaondoka Dodoma nikamjibu sawa safari njema tukaacha hivyo. Basi mi nikarud home usiku kwakuwa nilishapita somewhere nikapata chakula nikafika home niko good, nikaoga nikaingia kwa bed nikampigia ananiambia kashafika ila kachoka na safari nikamuacha nikapumzika.

Sasa leo Jpili tumeongea asubuh vizur tu na tukaagana baadae by saa 7 mchana ananiambia ndiyo anataka kurudi leo. Nikamuuliza mbona hukuniambia asubuhi na kwanini usingeondoka asubuhi? Sijaona cha maana anachonijibu, basi nikamwambia haya kama unarudi leo. Tuakaacha baada ya kama nusu saa ananipigia simu ananiambia kuwa yupo stendi, mara gari sijui hakuna, mara zimejaa, mara nimechoka nasikia usingizi, nikamwambia sasa siungebaki ili uondoke kesho asubuhi akasema sawa tukaacha.

Baadae ananitumia message eti amepata gari ila linaishia Dodoma kwaiyo atashuka Dodoma. Aloo nikasema kimoyomoyo hapo Dodoma hapo siyo bure, coz kwenda kashuka Dodoma kurudi baada arud kesho kama kweli kakosa usafiri na tumekubalina anarudi kesho mapema na sidhani kama kweli alikosa usafiri by that time ananiambia kuwa kapata usafiri.

Ila unaishia Dodoma so ataenda kulala Dom, sikutaka ku complicate nikamjibu sawa basi nikaachana nae. Ila cha ajabu baada ya hapo akawa kimya hakusema kama kafika au laa. Yaani ndo ananitumia text saa hii, saa 5 usiku kuwa alifika salama ila alishindwa kuniambia coz vidonda vya tumbo vilimshika akafikia kupumzika. Heheheh nacheka ila najua mwenyewe wakuu but sijamjibu na sitamjibu lakini namsubiri arudi kesho nikitoka kazini anieleze vizuri kuhusu hii safar yake.

Japokuwa mimi siyo mtu wa kumchunguza mwanamke na sipendi kabisa kuchunguza mtu sababu naelewa what’s gonna happen.

Wakuu kama kuna la kuniongezea karibuni sana, uwanja ni wenu.
Una tatizo kubwa mkuu, mkeo anapigiwa simu na dada yake na wewe unakubali bila kujiridhisha Kwa dada yake??... Ina maana dada Ndio ana mamlaka Kwa mdogo wake sio wewe? Halafu et anamuita tu na hakuna shida, kwani hujui ruhusa ya kwenda kumsalimia dada ambaye yuko mbali unaanza kuombwa January na safari inakuwa disemba wewe kaongea usiku tu asubh anaenda??? Tena anayetakiwa kuomba ruhusa siyo yeye ni huyo dada yake, kifupi huyo kakuficha kwapani.
 
wanaume mnachapiwaga kizembe sana😀

wakati anakwambia nimefika singida uliona ugumu gan kumwambie akupe cm uwasalimie mashemeji zako?

n way, km mkeo ni mnyaturu hiyo ni kawaida kwao
 
Hapana mkuu huwa naamua lakini hii sikutaka ku doubt coz nikimkataliga safar analalamika na kuona namuonea lakini pia nikwasababu tu kaeleza kuwa kaitwa na hajui nini shida kwa heshima tu za mashemeji nikamuacha aende ili akirud anieleze vizur hicho kilichomfanya akaitwa huko
Mkuu hata ungekua msiba ilipaswa wakwe au shemeji zako wakupigie simu na kukuomba wewe direct sio taarifa uzipate juujuu tu kama hivi.
Ama kweli ndoa ni kwa wenye akili timamu tu.
 
Inavyoonyesha huyo sio mke wako wa ndoa. Na kama ni mke basi yeye ndio kichwa cha familia, yaani wewe ni kibenten unatunzwa na hapo sio kwako. Ndoa siku zote lazima mjadiliane kwa swala linalojitokeza la kusafiri nje ya Mkoa na kujua kabisa safari inahusu nini. Mpaka mtu afunge safari sikuhizi issue lazima ni kubwa sana aidha ugonjwa, msiba, harusi au kutoa ushahidi Mahakamani, lakini sio zaidi kirahisi rahisi tu. Mitandao imerahisisha 75% sio lazima kukutana uso kwa uso tena.
 
Mkuu huko ni mbali sana kuitwa bila kupewa sababu, yani leo ndugu yako yuko mkoa aseme njoo haraka ukija nitakuambia sababu ya kukuita we unaweza kwenda?? Haiingii hata akilini upoteze nauli bila kujua why unaenda
emoji3.png
mkeo genius.

Nikweli mkuu nitamuuliza na kumfatilia kwakina kama anafanya ushenz nitajua tu njia ya muongo ni fupi
Bro unajua mkeo anakumudu, ndiomana ameweza kutumia mbinu za level ya chini sana kutekeleza azma yake.
Ushauri wangu ni kwamba, kama kweli unataka kufuatilia ukweli wa hiyo safari, uwe tayari kukabiliana na ukweli ulio mchungu, au upotezee tu na maisha yasonge kwa kutoruhusu ujinga kama huo tena.
Kinachonishangaza ni kuwa inawezekanaje mke afunge safari ya nyumbani tena mkoani bila ya wewe kuwa na taarifa yoyote kutoka huko ukweni? wa hivi mimi ningemkamata kabla hata ya safari yake kuanza.
Inauma sana kuto$%wa kizembe namna hii, man up bro.
 
Je mshazaa watoto na huyu mke wako?
Ebu nipe picha yake nimwangalie maana naweza nikawa nimemuona hapa Dodoma, kuna lodge flani nahisi ndo alikuwa na jamaa fulani hivi mzito. 8
 
Inaonekana huu ni ugonjwa ulioulea mwenyewe na ndio unakutafuna sasa. Mkeo anakuaga usiku kuwa anasafari asubuhi na we unamuitikia tu? Hahaa! Safari ya siku kadhaa nje ya mkoa na it's okay with you? Unajua kinachiendelew huko Dom na inauma sana but kwa mtazamo wangu, Deal with it¡
Ukiona hivyo ujue mwanamke ndiye mtafutaji mkuu wa uchumi wao.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Hapana mkuu huwa naamua lakini hii sikutaka ku doubt coz nikimkataliga safar analalamika na kuona namuonea lakini pia nikwasababu tu kaeleza kuwa kaitwa na hajui nini shida kwa heshima tu za mashemeji nikamuacha aende ili akirud anieleze vizur hicho kilichomfanya akaitwa huko
Sasa mkuu ndugu zake wanamuita kwani hawajui kama ni mke wa mtu au wao wanajua yupo single muda wowote akiitajika ataenda, mkuu mbona una kuwa dhaifu kama wabunge wetu wanavyo pitisha sheria za tozo bila kuhoji.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Kwavile ulishamruhusu akaenda kwenye safari yake bora tu ukae kimya ila siku nyingine ujifunze usitoe ruhusa kirahisirahisi hivyo.
 
Kujiheshimu na kukuheshimu ni jukumu la mkeo ambalo huwezi kumlazimisha kulifanya hata kama ukimpiga ama kugombana nae, siamini kama ukianza kufuatilia yaliyopita kwasasa yatabadilisha kitu zaidi ya kuzua migogoro zaidi. Kitu kikubwa kamą uliamua kutokutilia maanani tangu mwanzo endelea ivyo ivyo ili kuepusha madhara kwa pande zenu nyote. Ila muda mwingine ukitaka kufuatilia anzia mwanzo.

Waswahili wanasema kukaa kimya ni jibu la mjinga.
 
Hapana mkuu huwa naamua lakini hii sikutaka ku doubt coz nikimkataliga safar analalamika na kuona namuonea lakini pia nikwasababu tu kaeleza kuwa kaitwa na hajui nini shida kwa heshima tu za mashemeji nikamuacha aende ili akirud anieleze vizur hicho kilichomfanya akaitwa huko
Umewauliza hao mashemeji zako kuwa wamemuita kweli?
Isije kuwa alienda Sinza kukamuliwa.
 
Ndugu nafaamiana nao vizur sababu ya kumwambia aende sikutaka mambo yawe mengi nilitaka aende then akirud ndo nimuweke chini anieleze kulikuwa na nini lakini singida alifika na nilihakikisha hilo ila doubt inakuja hapo Dodoma mkuu
Unaanza kukengeuka, kwenye maelezo umesema hukumfatilia, hapa unasema ulihakikisha amefika joto linapanda
 
Back
Top Bottom