Moja kwa moja kwenye wasiwasi wangu.
Ni kwamba natumia gas kupikia, siku zote hamna tatizo. Ila huu mtungi nilio nunua safari hii nimeshatumia kama mwezi, karibia 2, sasa naona harufu ya gas imebadilika sana ni kama harufu ya gesi ya kienyeji na pia ule moto mkali wa blue hamna, badala yake unatoka moto mwingi mpaka sufuria inakuwa na jivu na inabidi mpaka nirudishe kipimo karibu na 0 ili kupata moto wa blue, hata hivyo inakuwa bado.
Kabla sijawasingizia hawa watu wa gesi naona nipate ujuzi wa watu wengine kwenye jambo hili, kwani sijui wanajaza wapi wao. Usije ikawa ujanja mpya.
Nawasilisha bungeni JF
Ni kwamba natumia gas kupikia, siku zote hamna tatizo. Ila huu mtungi nilio nunua safari hii nimeshatumia kama mwezi, karibia 2, sasa naona harufu ya gas imebadilika sana ni kama harufu ya gesi ya kienyeji na pia ule moto mkali wa blue hamna, badala yake unatoka moto mwingi mpaka sufuria inakuwa na jivu na inabidi mpaka nirudishe kipimo karibu na 0 ili kupata moto wa blue, hata hivyo inakuwa bado.
Kabla sijawasingizia hawa watu wa gesi naona nipate ujuzi wa watu wengine kwenye jambo hili, kwani sijui wanajaza wapi wao. Usije ikawa ujanja mpya.
Nawasilisha bungeni JF