Nina wasi wasi na huyu dogo

Nina wasi wasi na huyu dogo

Ungemjibu kuwa 'ungemhamishia akasome Ulaya ili kukwepa aibu hapa bongo' haki ya nani angefunguka na kukunyosha jinsi inayoyakataga mauono!!
 
njia rahisi chukua vidonge vya usingizi sijui wanaitaga valiam tumia mbinu yoyote aimeze ikiwezekana saga weka kwa juisi mpe akilala mchunguze
sasa swali ni je! ukikuta tayari kaanza ka mchezo utafanya nini.....
 
Ata mimi nina wazo hlo la kumpeleka kwa doctor
hakuna doctor anaye zijua ethics anae weza
fanya ivo bila PF3, na doctor hawezi kukuambia kama kalawitiwa au la ndo maana kwenye ile PF3 form docter anatakiwa kureport findings tu ila sio kutoa hitimisho la kwamba amebakwa au lah. Fata tu ushauri mzuri wa wadau hapo juu, ila kama kuna daktari wenu atawasaidia ni juu yenu pia
 
Nawashauri msimpanue maana mnaweza mkapitiwa na shetani mkamsuuza....mpelekeni kwa dokta
 
Ata mimi nina wazo hlo la kumpeleka kwa doctor

Doctor ana uwezo wa kuthibitisha kama Kalawitiwa au la, ila hawezi kujua kitu gani kilimshawishi akakubali ndio sababu tunShauri azungumze nae. Pengine dogo anaweza kukiri kuwa huwa anaingiliwa sasa hapo Daktari wa nini kuthibitisha kuwa anasukumiwa Dudu.
 
Mpeleken hospital, akaguliwe kitaalamu. Na mfanye haraka maana mkichelewa ndo anazidi kuharbika
 
Ushoga unaanza kushika kasi afrika! Mungu tusaidie! Mbaya sana!
 
Dah ila omba isiwe kweli maana ata izo nguvu za kumpiga zitayayuka
 
Daktar atajua jinsi ya kumsaidia, kama tayari kishafanyiwa au ndio anataka yote yatajulikana huko,


Kwani hata mkimkagua wenyewe mtajuaje kama tayari?
What if bado hawajatatua marinda, nyie mnaweza mkamuangalia mkaona yuko poa kumbe kishaanza.
 
Vipi wewe mwenyewe? maana mpaka mdogo wako akuface na kukuuliza hayo...!
 
Daaah tunapokwenda majanga zaidi.......zamani tulikuwa tunalinda watoto wa kike sasa tunawalinda wakiume zaidi ya almasi......inauma sana nafikiri mtakapopata majibu ya swali unalojiuza itakuwaje
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom