Nina Utata Dhidi ya Vietel Tanzania Company

Don Mangi

JF-Expert Member
Nov 1, 2010
2,198
852
Wakuu, baada ya kampuni inayojiita Viettel Tanzania kutangaza kazi nyingi na watu kuzipaparikia knimekuja na observation zifuatazo naona hii ni kwa faida ya wanaotafuta kazi...As a man I stand to be corrected:...

Nna wasiwasi na hii kampuni, I swear I can smell a rat here and the rat is damn close.

1. ni nani ameshawahi kufika kwenye hizo ofisi hapo Migombani?? Plot no 145?? Mbona kama Migombani hiyo plot no 145 ni ya kitu kingine??
2. inakuingiaje akilini kampuni kubwa kama hiyo kutumia domain za gmail.com???
3. Cross checking with kampuni zinazoruhusiwa kufanya huduma za mawasiliano na TCRA hiyo Vietel Tanzania hai exist(labda kama hawaja update list yake)
4. Huyo HR anaitwa Frank tu...hana baba, any company with international reputation lazima ikupe contacts zenye uhai, simu ya mezani, na kadhalika.
5. kampuni ya communication inaajiri watu wa "Construction"??really?? .na siyo "Civil" (no fooling me asee), cheki hiki kingine tena eti inaajiri watu wa "Logistics" seriously??? waende kusambaza hiyo 3g kwenye maboksii???
6. Form za application zinawekwa Rapidshire na media fire??? siri za kampuni kama hiyo unaweka kwenye mitandao ya file sharing???(Oh nooooo) I guess my mama gave birth to a genious.
7.Organisation yao haijajipanga vizuri, angalia maneno kama "Candidates who applied first will be interviewed first" hivi organization gani inaweza kupoteza muda kama huu, kampuni nyingi zinapofanya mass reruitment zinafanya kama walivyofanya Camusat...sio huu ujinga wa Frank hapa mtandaoni


Caution.
Kwa wale ambao hamjui wezi, jaribuni kuuliza kwa watu experts wa mitandaoni,usijikute unatuma taarifa zako kwa mikono isiyo salama ukaanza kutapeliwa pesa zako bure.

Nakaribisha watu wengine wenye mtazamo kama huu au tofauti na wa kwangu ila wenye lengo la kujenga.

kwa observation nilioifanya kwa kipindi kifupi tu kama dakika kumi nimeweza kutambua kuwa hawa VIETEL TANZANIA ni MATAPELI wa kutupwa na trust me watu mtalizwa humu msipokuwa makini na makanjanja wa namna hii. ( I guess with this observation Im ready to be hired as a fraud investigator)
 
Kesho nitakuja na list ya matapeli na namba zao zote za simu na majina yao yote wanaoyatumia. All I wanna do is help, kuna watu wanaonewa sana wanaambiwa watume fedha na wengine maskini kwa kiu cha kupata ajira wanatuma kumbe ni wezi. Na pia kama sitakuwa busy nitaendesha ki darasa humu jukwaani cha namna ya kuwatambua wezi na namna ambazo wanaziitumia kupata information zako.
 
Wakuu, baada ya kampuni inayojiita Viettel Tanzania kutangaza kazi nyingi na watu kuzipaparikia knimekuja na observation zifuatazo naona hii ni kwa faida ya wanaotafuta kazi...As a man I stand to be corrected:...

Nna wasiwasi na hii kampuni, I swear I can smell a rat here and the rat is damn close.

1. ni nani ameshawahi kufika kwenye hizo ofisi hapo Migombani?? Plot no 145?? Mbona kama Migombani hiyo plot no 145 ni ya kitu kingine??
2. inakuingiaje akilini kampuni kubwa kama hiyo kutumia domain za gmail.com???
3. Cross checking with kampuni zinazoruhusiwa kufanya huduma za mawasiliano na TCRA hiyo Vietel Tanzania hai exist(labda kama hawaja update list yake)
4. Huyo HR anaitwa Frank tu...hana baba, any company with international reputation lazima ikupe contacts zenye uhai, simu ya mezani, na kadhalika.
5. kampuni ya communication inaajiri watu wa "Construction"??really?? .na siyo "Civil" (no fooling me asee), cheki hiki kingine tena eti inaajiri watu wa "Logistics" seriously??? waende kusambaza hiyo 3g kwenye maboksii???
6. Form za application zinawekwa Rapidshire na media fire??? siri za kampuni kama hiyo unaweka kwenye mitandao ya file sharing???(Oh nooooo) I guess my mama gave birth to a genious.
7.Organisation yao haijajipanga vizuri, angalia maneno kama "Candidates who applied first will be interviewed first" hivi organization gani inaweza kupoteza muda kama huu, kampuni nyingi zinapofanya mass reruitment zinafanya kama walivyofanya Camusat...sio huu ujinga wa Frank hapa mtandaoni


Caution.
Kwa wale ambao hamjui wezi, jaribuni kuuliza kwa watu experts wa mitandaoni,usijikute unatuma taarifa zako kwa mikono isiyo salama ukaanza kutapeliwa pesa zako bure.

Nakaribisha watu wengine wenye mtazamo kama huu au tofauti na wa kwangu ila wenye lengo la kujenga.

kwa observation nilioifanya kwa kipindi kifupi tu kama dakika kumi nimeweza kutambua kuwa hawa VIETEL TANZANIA ni MATAPELI wa kutupwa na trust me watu mtalizwa humu msipokuwa makini na makanjanja wa namna hii. ( I guess with this observation Im ready to be hired as a fraud investigator)

Vietel ndio EgoTel jaribu hivyo, na vietel ni vietnam telecom ltd wamenunu share kwa egotel
 
Vietel ndio EgoTel jaribu hivyo, na vietel ni vietnam telecom ltd wamenunu share kwa egotel

Whatever man...ni matapeli, Vietel ipo sikatai lakini haaina subsidiary Tanzania upo hapo? Yaani Vietell Tanzania hai exist ni kampuni hewa kwa maana nyingine ni matapeliiii..
 
Dah FaizaFoxy mpaka ukanikandamizia like, hehehe embu njoo kandamiza na hii hapa tena, za wewe?
 
Last edited by a moderator:
ombeeni sana nchi hii maana kila mtu hata vichwa panzi wanaamka asubuhi wanakwenda kariakoo na tambuu wakijamba then jioni wanatoa matangazo ya kazi tele,mnachezea graduates sio? siku moja watazingira hizo ofisi mpaka mtoe ajira.Tanzania itajengwa na wazarendo tuuuuuuuuu.
 
Weka majina ya matapeli uliyoahidi, likes utazipata kwa wingi tu.

Umeona eeh, ngoja nikaandae hiyo list of shame nije niibandike hapa....wajinga sana...wamachezea graduates wa watu maskini na kuwalia fedha zao bure tu.
 
Mimi naanza na yule tapeli Mwesiga aliyetufanyika usaili fake wa mwanza community bank! No yake ntaiweka soon!!
 
wnaweza wakawa wezi kweli! but nimejaribu kuitafuta hiyo vietel ya vietnam nayo pia wanatumia gmail katika kuomba kazi sijui kwann but ndo hivyo! atakayekubali kuibiwa na hawa jamaa atakuwa amejitakia kwani tahadhar imeshatolewa
 
usishangae wanavyoanza ajiri watu wa construction/civil, maana very soon wanaanza jenga minara yao wenyewe, tayari kuna kampuni zimeshapewa minara ya kujenga ila vibali vya ujenzi bado vinashughulikiwa.
usishangae kuona watu wa logistics wanaitajika kwa wingi, maana wao ni kitengo muhimu kwenye ujenzi wa hii minara.
pia ikiachiwa company mail, servers zitajaa bila sababu ya msingi.
 
Back
Top Bottom