Nina tatizo kuhusu mashine yangu ya copy

Nov 18, 2018
26
5
Habari zenu wana JF, nina tatizo linaniumiza kichwa sana na hadi leo hii bado tatizo lipo. nina mashine ya copy ni CANON:IR.2206 imegoma kutenda kazi. Kwenye display inajiandika error halafu inaonesha E350-0000 naomba msaada kujua tatizo. Natanguliza shukrani.
 
Habari zenu wana JF, nina tatizo linaniumiza kichwa sana na hadi leo hii bado tatizo lipo. nina mashine ya copy ni CANON:IR.2206 imegoma kutenda kazi. Kwenye display inajiandika error halafu inaonesha E350-0000 naomba msaada kujua tatizo. Natanguliza shukrani.
Uko mkoa gani?! Na hiyo error ilianza kuonekana baada ya kufanya Nini?!
Je haujabadili kifaa chochote kwenye hiyo photocopier?!
 
Mkuu nipo mkoa wa Lindi, mashine ni mpya, sijabadilisha kifaa chochote. tatizo limeanza kama ifuatavyo:mashine ilikuwa inafanya kazi, ghafla umeme ulikatika na baada ya dakika kadhaa ukarudi tena. kujari kuendele na kazi mashine iliwaka na ikamaliza kwenye uwakaji, mara ikatokea hizo code error. nikazima na kuwasha bado tatizo lipo tu hadi leo, na sijamuita fundi yoyote kuitengeneza naogopa, kwani huku niliko hakuna mafundi wazuri.
 
Upo Lindi sehemu gani?
Mkuu nipo mkoa wa Lindi, mashine ni mpya, sijabadilisha kifaa chochote. tatizo limeanza kama ifuatavyo:mashine ilikuwa inafanya kazi, ghafla umeme ulikatika na baada ya dakika kadhaa ukarudi tena. kujari kuendele na kazi mashine iliwaka na ikamaliza kwenye uwakaji, mara ikatokea hizo code error. nikazima na kuwasha bado tatizo lipo tu hadi leo, na sijamuita fundi yoyote kuitengeneza naogopa, kwani huku niliko hakuna mafundi wazuri.
 
Hizi copier zinahitaitaji umakini maana nahisi Kuna hardware imepatwa na shida na hiyo error ndo imetokea. Hapa Kama paper zipo ila bado error inatokea basi tatizo limo ndani photocopier yenyewe.

Bahati mbaya hata hauwaamini mafundi wa kibongobongo jaribu kuwaamini kidogo la sivyo utatakiwa kununua mpya au kuwasiliana na manufacturer wa hiyo machine.

kureplace hardware nyingine inaweza goma kabisa hii sio Kama pc but jaribu kutafuta mtu mwingine mwenye ujuzi wa karibu atakusaidia

Tatizo uko far east.
 
Habari zenu wana JF, nina tatizo linaniumiza kichwa sana na hadi leo hii bado tatizo lipo. nina mashine ya copy ni CANON:IR.2206 imegoma kutenda kazi. Kwenye display inajiandika error halafu inaonesha E350-0000 naomba msaada kujua tatizo. Natanguliza shukrani.
Kutakuwa kuna shida kwenye feed roller ama jirani ya hapo (drum)
 
Mkuu nipo mkoa wa Lindi, mashine ni mpya, sijabadilisha kifaa chochote. tatizo limeanza kama ifuatavyo:mashine ilikuwa inafanya kazi, ghafla umeme ulikatika na baada ya dakika kadhaa ukarudi tena. kujari kuendele na kazi mashine iliwaka na ikamaliza kwenye uwakaji, mara ikatokea hizo code error. nikazima na kuwasha bado tatizo lipo tu hadi leo, na sijamuita fundi yoyote kuitengeneza naogopa, kwani huku niliko hakuna mafundi wazuri.
Angalia pm yako kuna ujumbe nimekutumia
 
Replace serial number pcb
Mkuu nipo mkoa wa Lindi, mashine ni mpya, sijabadilisha kifaa chochote. tatizo limeanza kama ifuatavyo:mashine ilikuwa inafanya kazi, ghafla umeme ulikatika na baada ya dakika kadhaa ukarudi tena. kujari kuendele na kazi mashine iliwaka na ikamaliza kwenye uwakaji, mara ikatokea hizo code error. nikazima na kuwasha bado tatizo lipo tu hadi leo, na sijamuita fundi yoyote kuitengeneza naogopa, kwani huku niliko hakuna mafundi wazuri.
 
Back
Top Bottom