Kabakabana
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 5,551
- 1,159
- Thread starter
- #21
Nipo bi dada .. sasa huyo aliyekuwa anauliza swali ana akili timamu kweli au ni ubishi tu?? Ni sawa sawa na kuuliza mwanamke alitoka kwa mwanaume AU mwanaume alitoka kwa mwanamke!!!
sijaelewa kabisa hilo swali lako sasa katika ulinganishi wa hapa