Jambo wote, nina swali kuhusu ufanyaji kazi wa hizi touch screens ziwe za simu, tablet, nk.Awali nilidhani kitu chochote kikigusa screen inareact kumbe hapani. Ukitumia kalamu au kitu chochote tofauti na kidole hazifanyi kazi. Sasa najiuliza humu kwenye screen kuna sensors za damu au ni nini? Au ni mambo ya electrical conductivity (neg pole + pos pole). Watalaam wa elekroniki karibuni.