The Eric
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 5,059
- 8,179
Salaam Wakuu
Nauza Kiwanja shilingi milioni 7.5 fixed Arusha mjini. Mahali Kilipo ni Engosheratoni Kata ya Sinoni Arusha. Ukubwa wa Kiwanja ni 550sqm.
Haki miliki ya kiwanja kinatambulika na serikali ya mtaa, hii ni kwa maeneo yote ya engosheratoni.
Ukaribu wa Kiwanja kipo karibu na shule ya sekondari Edmund Rice Arusha. 6km mpaka kufika arusha city center clock on tower.
Kimeshuka bei, ...🔥🔥🔥🔥🔥
Picha za kiwanja hizi hapa wakuu, karibuni sana.
Nauza Kiwanja shilingi milioni 7.5 fixed Arusha mjini. Mahali Kilipo ni Engosheratoni Kata ya Sinoni Arusha. Ukubwa wa Kiwanja ni 550sqm.
Haki miliki ya kiwanja kinatambulika na serikali ya mtaa, hii ni kwa maeneo yote ya engosheratoni.
Ukaribu wa Kiwanja kipo karibu na shule ya sekondari Edmund Rice Arusha. 6km mpaka kufika arusha city center clock on tower.
Kimeshuka bei, ...🔥🔥🔥🔥🔥
Picha za kiwanja hizi hapa wakuu, karibuni sana.