Nina shida ndugu zangu!

Heee kwani kuwa na magari ni miujiza?
Unajuaje kama na mimi nina kisima cha mafuta tatizo mmekariri kuendesha viji starlet,viji cololla, Vitz kisa mafuta!JAMANI TUPO TOFAUTI,HATA VIDOLE HAVILINGANI,HATA KUWA NA GARI NI MAENDELEO,KILA MBUZI ANAKULA KWA UREFU WA KAMBA YAKE MIMI SIWEZI KUJILINGANISHA NA MTU ANANIKATISHA TAMAA KAMA WEWE! NAHISI UNATEMBELEA BAISKELI!YAANI WE UNGEKUWA JIRANI YANGU NAHISI UNGEMWAGIA GARI YANGU MAJI YA CHUMVI!WATU WENGINE BWANA.BAADA YA KUMPA MOYO MWENZAKO UNAMVUNJA MOYO .HATUWEZI NA MAENDELEO KAMA TUNA WAZA VIJISTARLET KILA SIKU NAHISI HATA NUMBA YA KO HINA CHOO.SI UNAJUA WAHINDI WAMEJIVFUNZA KUWA NA VYOO SIKU HZ!BADILIKA NDUGU YANGU!SHKAMOO.
 
heee kwani kuwa na magari ni miujiza?
kumbe ulikuwa hujui kama kupumua ni muujiza basi hata kula kuwa na nyumba,kupata kazi nzuri biashara yako kwenda vzr hata kutembea ni muujiza,kuna watu hata haja ndogo hawpati nini kuwa na gari!mimi ndio nikushangae wewe kuona nimeammua kununua gari yenye pull kubwa!pole.
 
Kunani tena hapa?
Kaka mimi nimekuuliza tu vzr kwa uzr tena kwa heshima likin kuna mtu mmoja hapa ananichanganya yaani sielewi hili jambo la mimi kukuuliza wewe habari ya Range rover sijui limemkera nini ndugu yangu!YAANI KWA UFUPI SIMUELEWI NIA NA LEONGO LAKE!NI HUYU MKUU ANAYEJIITA MAMNDENYI SIMUELEWI KWA KWELI LABDA MNISAIDIE NA NYIE.ASANTE KAKA.
 
Back
Top Bottom