Biniphace M Magesa
Member
- Oct 20, 2017
- 5
- 2
Unaetaka shamba pga 0656692901
Extnsion Boniphace
Extnsion Boniphace
Mkuu tunaweza wasiliana na mimi Niko na eka 4 Kimanzichana nataka panda korosho.mie nina heka 10 kibiti mwezi wa pili ninataka kupanda miche ya mikorosho kama zao la kudumu ambayo nitaanza kuvuna baada ya miaka 2 pia wakati mikorosha inakua nitakuwa nalima mihogo.Fanya hivyo mkuu
Liko mkuranga ipi??
Kama huna cha kulifanyia basi niuzie tu tujue moja
Baba. Hiii mini kibokoWeka minazi.. Taduta miche ya kisasa ila itakuchukua takriban miaka mitatu kuanza kuvuna matundaView attachment 368870View attachment 368871
Nimevutiwa na maelezo yako, hivi kibiashara zao la mhogo linalipa? Ukilima nusu heka kwa mfano faida (makisio tu) yake yaweza kuwa kiasi gani (mauzo kutoa gharama zake). Natangiliza shukran .Mkuu, habari ya wewe. Mimi pia nina shamba la ekari 10 Kimanzichana so i assume tuko kwenye same zone. Sijajua unataka kufanya kilimo cha aina gani ila nikushauri kama ninavyofanya mimi. Binafsi ninalima mihogo kwa sasa na mwezi wa kumi na moja natarajia kulima ufuta pia. Mihogo mwezi wa tisa ndio msimu mzuri kwa kupanda, ufuta mwezi wa kumi na moja. Kama una mtaji wa kutosha pia unaweza kulima Nanasi, Karanga na Matikiti maji maana hayo mazao yote yanakubali 100%. Karibu kwenye kilimo mkuu
Kwa wa stani hiyo mbegu inaweza kuza nazi ngapi kwa mwaka?Weka minazi.. Taduta miche ya kisasa ila itakuchukua takriban miaka mitatu kuanza kuvuna matundaView attachment 368870View attachment 368871
Kununua ama kukodi!?Hivi mkoa wa pwani nisehemu gani naweza pata heka kwa bei ya 200,000/= kama kuna mtu mwenye kujua anijuze tafadhali
Kununua nataka heka kadhaa ila maeneo ya mkuranga , na bagamoyoKununua ama kukodi!?
NdioMikorosho inakubali mkuranga?
Hbari ndugu,
Kama nilivyoeleza hapo juu nina ekari 6 na ningependa kuituma kujiongezea kipato kuliko kiwa shamba pori. Naulizia zao ambalo naweza kulima na likawa na tija. Sina tatizo la mtaji.
Butternut ni zao gani mkuu?
Mkuranga kuna Kijiji kipya kinaitwa kinaitwa njia nneKununua nataka heka kadhaa ila maeneo ya mkuranga , na bagamoyo
Mkuu Nami naweza pata heka 10 hapo Mkurangu ?Hbari ndugu,
Kama nilivyoeleza hapo juu nina ekari 6 na ningependa kuituma kujiongezea kipato kuliko kiwa shamba pori. Naulizia zao ambalo naweza kulima na likawa na tija. Sina tatizo la mtaji.