Mr Mayunga
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 313
- 40
Naombeni ushaur wakitaalam kuhusu,matibabu yake.
pole... usije Shinyanga tutakuchangamkia mkuu.
mimi niliugua haya makitu kipind nasoma shule pale bagamoyo, nilichofanya niliweka omo kwenye kiganja then nikailowesha na maji nikatia machoni kesho yake niliamka nipo poa hadi leo sijaumwa, hii njia ilinijia mwenyewe kichwani tu ila sikushauri utumie hii njia maana huwa najifikiria kama ningepofuka ingekuaje maana haina uthibitisho wa wataalamu!!tumia hizo dawa ulizoshauriwaNaombeni ushaur wakitaalam kuhusu,matibabu yake.
Naombeni ushaur wakitaalam kuhusu,matibabu yake.
Hii ndio dawa sahihi kabisa nimeitumia kwa siku mbili tu na nikapona ila nakushauri usikune macho yako hata kama yanawasha vipi kwani itakusababishia uhisi macho yako yana michanga wakati ni vi-ngozi vinavyokuwa vimechubuka kutokana na kukuna macho,pole sana.nenda kanunue dawa ya macho inaitwa Dexamethasone and Neomycine,(dexa neo),weka 2drops four times a day
nenda kachukue chumvi weka kwenye maji then iache mpaka iyeyuke vema anza kuyaosha macho kwa hayo maji hakikisha maji yanaingia ndani ya macho mara 3 kwa siku kesho ukiamka imeishahii kitu imenikamata..sio poa kabisa.
mkuu nimetumia dawa flani hivi ya matone ila naona ngoma bado ngumu tu.Jaribu ushauri wa mdau hapo juunenda kachukue chumvi weka kwenye maji then iache mpaka iyeyuke vema anza kuyaosha macho kwa hayo maji hakikisha maji yanaingia ndani ya macho mara 3 kwa siku kesho ukiamka imeisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulienda hospitalimkuu nimetumia dawa flani hivi ya matone ila naona ngoma bado ngumu tu.
Ulienda hospitali
Hii ya maji ya chumvi unapona kabisa
ngoja ntaijaribu mkuu,hospital nilienda ndio nikapewa hiyo dawa ya matone