Nina PhD natafuta kazi

Nina PhD natafuta kazi

Ushauri mzuri umepewa hapo juu, hasa wa kufundisha au katika research.Labda kama hutaki na unachagua kazi.Ninavyojua katika level ya phD, unaweza kujiajiri kwa kujihusisha na research zako na wafadhili wako wengi sana.Nimekupa haya nina uzoefu, kuna dogo anakula bata kiulaini sana.
 
Mimi binafsi nikiwa na PhD siwezi kulialia hata siku moja, nakuambia ule ukweli mtu wa PhD hata kama useme kuwa ajira hamna Tanzania lazima atatoboa tu.Kuna vitu vingi vya kufanya ukiwa na PhD mfano kufanya research zako na kulipwa achilia mbali vyuo vyote vimejaa halafu unalia njaa kweli du labda upo too selective sana.Natamani sana mimi ningekuwa wewe yaani ningekuwa sasa hivi naongelea kuandika mapropozo ya miradi mikubwa na kufanya consultatation na makampuni ya maana.Anyway kweli kama ulivosema umekulia mboga saba kwa hiyo unatakiwa kupewa muongozo
 
Mkuu na utitiri wote huu wa vyuo vinavyoibuka kila kukicha kweli umekosa kazi mbona siamini? Hata Katavi University kweli?
 
hongera na pole kwa changamoto Mungu anampango na wewe angalia gazeti la mwananchi la leo tar 29 muccobs wametangaza kazi nying no experience naamini ktk jina la yesu utapata muamin Mungu hukosi,if possible phd weka pemben kwanza utaionesha later.
 
You can't be serious!! kuna shida hapo, moja huna connection na jamaa mliosoma nao kuna kipindi ulijitenga baada ya kupata hiyo sponsor, pili, ukienda sehemu unajikweza sana kisa una phd, tatu, unachagua kazi, nne, we ni mtoto wa mama, unaangalia tv mno, tano huna majukumu yaani hujaoa wala huna mtoto, sita, kuna kauvivu flani hivi cha kuapply kazi, saba, hauko compitent, yaani hujiamini na field yako, nane, unaishi mbezi au masaki hujawahi kulala na njaa wewe. HUWEZI kuwa na Phd afu unaomba ushauri wa kupata kazi ati..! USHAURI!! kwanza amka usingizini! tafuta kazi broo Tanzania kubwa hii, nyie mnaompa ushauri fear hamtakii maisha mema mwambieni ukweli, kuna kazi za planning, project coordinator, head of departments zimejaa zoom tanzania afu mnampa ushauri simple namna hiyo? CV siku hizi unaandika tuu hata kauongo flani kuwa ulishafanya hivi na vile ukishapata kazi kitaeleweka tuu bwana, what is expirience wakati una projects umefanya ukiwa masters na Phd!! sijakuelewa!! Tafuta kaziii, mm kila siku huwa naaply kazi japo nina kazi yaaan kila siku just emagine na nytingine hata sijasomea.
 
kaka usikate tamaa mungu atafungua njia fuata ushauri wa hapo juu usisubiri tangazo la kazi tembelea katika hivyo vyuo onana na wahusika nna imani watakuconsider,mi pia nna ndugu yangu alikuwa kama wewe alienda physically kwenye vyuo akaonana na wakuu na wakampangia dates za interview na hatimae alipata sehem tatu akachagua mwenyewe alipopenda,kaza moyo utafanikiwa mi mwenyewe nilisota na master miaka miwili
 
Pole kwa msoto na nikutie moyo tu kwamba jaribu hizi taasisi za utafiti kama ifakara na myingine. You can be a boss there. Kwani una miaka ngapi?
 
Duuh inasikitisha,poleh,usikate tamaa,all you need is work experience,approach vyuo mbalimbali,omba hata kuvoluntee r kufundisha,it may take time but ths the only way utaitumia elimu yako
 
PHD...alafu unakosa pakuanzia..njoo tutengeneze NGO.ww utakuwa idara ya research.chief.
 
Anza na kuomba kazi za kufundisha vyuoni, kule itakuwa rahisi kupata. Kubali kuanzia chini ili upate experience, then baadae utatumia vyeti vyako vya juu. Wala usiogope, its just a matter of time.
 
Pole..ila kwanini tuwaze kuajiriwa.?? Inamaana elimu za darasani zinatuandaa kuajiriwa na si kujiajiri...umesoma BA huwezi kuongoza biashara yako binafsi ht km ni mtaji wa laki 5...come ooon changamka unless wewe ni mtoto wa mama na unachagua kazi...PHD kweli.??
 
Back
Top Bottom