Gemini Are Forever
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 1,457
- 2,435
- Thread starter
- #41
Asante kwa maoni mkuu, tupo pamoja na BARIKIWA!Sawa mkuu. Kw
Mkuu kwa uzoefu wangu. Biashara yoyote inachukua miezi zaidi ya sita kujifunza. Ikidumu mwaka sio kwamba umepata faida, walau unakuwa umeijua.
Hivyo naona sii vyema kuanza na wazo jipya unapokuwa umepata mtaji, japo inawezekana lakini kuna hizo gharama za kujifunza utazilipa. Ila kama unafanya kitu ambacho umebobea unakua tayari umeshajua mengi na hivyo utaweza kuimudu.