jina halisadifu jinsia yake
Kweli nyani haoni kundule...ungejua hawa ndio huwa wanajua nini maana ya ndoa...
Hivi tumewakosea nini jamani? KAYAMBA ndo nini? Hao wasichana unaopendekeza aoe unajuaje kama ni wasichana? Mbona mume wake keshaoa? au yeye si KAYAMBA kwa kuwa mwanaume ni SUPERIOR RACE NEXT TO GOD? Bro, sikiliza moyo wako, changanya na akili. Issues zinazohusiana na ex wa mkeo na step-child unatakiwa ujue kuwa ni changamoto zinazokusubiri. Kama we ni mwanaume unayejua unachokitafuta kwa mwanamke na umeona huyo mwanamke anacho basi amua kama utaweza kukabiliana na hizo changamoto. Na ni mambo madogo kama wewe na mke wako mtaamua kuwa mnataka uhusiano wenu udumu. Swala la msingi ni nia ya ninyi wawili. Mengine yote yatategemea mtakavyoyachukulia. Ukiwa na amani moyoni oa, kama unasitasita kamwe usioe - huyo wala yeyote.Kwanza wewe kabila gani? Kama mila zako zinakuruhusu songa mbele(najua dini zote hazina kipingamizi??) ingawa nisingelikushauri kuoa "KAYAMBA". Katika wasichana wote TZ nzima hukuona anayekufaa mpaka "Kayamba" Kwa nini hutaki msichana? Nadhani wewe ni dhaifu wa mapenzi!! Makabila mengine kuoa "Kayamba" ni kashifa kwako, unaonyesha to what extent you are weak to women love.
umegegeda wanawake 360...... una miaka 35 maraprap bla bla bla...halafu unajiita mwanaume wa kuombwa ushauri wakati we ndo unahitaji ushauri. Unajiona umesimama! kichefu chefu,,,,,,,,,,,Mzalishe watoto watatu ndipo ufunge nae ndoa.usiwe na wivu mume wa kwanza akijikumbushia,mabinti wote hawa huwaoni?? Au domo zege sana,kwanini uchukue maraprap badala ya nyama?? Utajiju na ubwege wako,kwanini usituombe sisi wanaume wenzio tukupe mbinu za kutongoza mabinti na sio silipendwa ?? Mimi nina miaka 35,nimegegeda wanawake 360 katika maisha yangu na jumapili hii naoa binti wa miaka 20,hajazaa.kalagabao!
kweli! Siku mko chumbani then anakwambia nimemmis mume wangu wazamani, utafanyaje?
Tutake radhi ndugu wengine tu watu wazima na busara zimejaa tele.jaribu kukaa na wazee wako watakupa ushauri mzuri na vitu gani ufanye kabla ya kuchukua maamuzi ya kuoa kama kuangalia sababu ya kuachana kwao, malezi ya mtoto n.k. Usikurupuke kwenye ili jambo unaweza ukajuta baadae wakati umeshafunga ndoa
Michango na maoni ya mtandaoni wengi wanaotoa ni vijana ambao umri wao si mkubwa na hawana uzoefu wa kutosha kwenye changamoto za mahusiano hivyo tafuta wazee wenye busara au viongozi wa dini wakakushauri
Me binafsi nakushauri tafuta binti ambaye hajawahi kuolewa na asiye na mtoto utakuwa kwenye safe side zaidi (ni mtazamo tu)
umegegeda wanawake 360...... una miaka 35 maraprap bla bla bla...halafu unajiita mwanaume wa kuombwa ushauri wakati we ndo unahitaji ushauri. Unajiona umesimama! kichefu chefu,,,,,,,,,,,
umeshindwa kabisa kupata kitu fresh?kumbuka ipo siku watakumbushia enzi zao
umeshindwa kabisa kupata kitu fresh?kumbuka ipo siku watakumbushia enzi zao
Hivi tumewakosea nini jamani? KAYAMBA ndo nini? Hao wasichana unaopendekeza aoe unajuaje kama ni wasichana? Mbona mume wake keshaoa? au yeye si KAYAMBA kwa kuwa mwanaume ni SUPERIOR RACE NEXT TO GOD? Bro, sikiliza moyo wako, changanya na akili. Issues zinazohusiana na ex wa mkeo na step-child unatakiwa ujue kuwa ni changamoto zinazokusubiri. Kama we ni mwanaume unayejua unachokitafuta kwa mwanamke na umeona huyo mwanamke anacho basi amua kama utaweza kukabiliana na hizo changamoto. Na ni mambo madogo kama wewe na mke wako mtaamua kuwa mnataka uhusiano wenu udumu. Swala la msingi ni nia ya ninyi wawili. Mengine yote yatategemea mtakavyoyachukulia. Ukiwa na amani moyoni oa, kama unasitasita kamwe usioe - huyo wala yeyote.
Fresh tengeneza wako, huyo ulienae nani kakwambia kuwa ni fresh
Wakuu,
Nimetembea huko na huko hatimaye nimekutana na mwanamke nikampenda lakini akaniambia yupo divorced na mtoto mmoja,naomba wataalam mnishauri kama ni idea nzuri kumwoa mwanamke kama huyo!yanaweza kunikuta makubwa mbele ya safari?
Wakuu,
Nimetembea huko na huko hatimaye nimekutana na mwanamke nikampenda lakini akaniambia yupo divorced na mtoto mmoja,naomba wataalam mnishauri kama ni idea nzuri kumwoa mwanamke kama huyo!yanaweza kunikuta makubwa mbele ya safari?