Habari zenu wakuu.
Nimekuwa naona nyuzi nyingi sana watu wakilalamika wanawake wao kuchepuka nje ndoa na kupelekea ndoa kuvunjika.
Mimi ni kijana ambae nina mpango wa kuoa huko mbeleni (Sio leo wala kesho) na moja ya mipango yangu ni kuoa nikiwa nishakuwa na assets za kutosha.
Kutokana na dunia ya sasa kuharibika mpaka vijana wenzangu wengi kukataa ndoa, naomba kuuliza hili swali.
Ikitokea nikamuacha Mwanamke wa ndoa alienikuta nina mali zangu, je na yeye atapata mali zangu?
Nitashukuru mkinijibu wakuu.
Naomba nisaidiwe kwenye hili.
Nimekuwa naona nyuzi nyingi sana watu wakilalamika wanawake wao kuchepuka nje ndoa na kupelekea ndoa kuvunjika.
Mimi ni kijana ambae nina mpango wa kuoa huko mbeleni (Sio leo wala kesho) na moja ya mipango yangu ni kuoa nikiwa nishakuwa na assets za kutosha.
Kutokana na dunia ya sasa kuharibika mpaka vijana wenzangu wengi kukataa ndoa, naomba kuuliza hili swali.
Ikitokea nikamuacha Mwanamke wa ndoa alienikuta nina mali zangu, je na yeye atapata mali zangu?
Nitashukuru mkinijibu wakuu.
Naomba nisaidiwe kwenye hili.