Nina mimba ya msafisha kucha... Mmh!

Celine Dione, mwanamziki aliyetokea kuvuma na kupendwa sana ana wimbo wake ujulikanao kama "Love doesn't ask why ".

Msafisha kucha nimejikuta tu nimempa tunda na amelimega mara tatu tu lkn kishafunga goli. Nina mume wangu wa ndoa yenye miaka 4 na tuna mtoto wa miaka 3.

Kiukweli sina sabb ninayoweza kuitoa ikaeleweka kwamba kwann nilimsaliti mume wangu. Sina sabb ya msingi. Msafisha kucha alini-win padogo tu. Kuna siku aliisifia bikini yangu aliyoiona wakati akiniweka vizuri miguu ili asafishe kucha za mguu wangu wa kulia. Macho yake yalituwama kwenye bikini yangu ya rangi nyekundu.

Aliniongelesha mambo mengi huku mikono yake ikiamsha hisia zangu za kimapenzi zilizojaa kwa wingi ktk nyayo zangu. Kadri alipoendelea kusugua kucha zangu huku wayo Wangu ukiwa kiganjani kwake niliendelea kulegea. Alipoomba uroda sikusita, maana sikujiuliza mara mbili.
Nikampa siku ya kwanza, ya pili na ya tatu.

Baada ya kugundua mimba imeingia na siyo ya hubby wangu hofu imenijaa. Nimembambikizia mume wangu lkn nafsi yangu inanisuta. Na tangu nionjwe na huyo muosha kucha sifurahii mgegedo wa mume wangu kiviiiiiile.

Nifanyeje nirejeshe furaha na mahaba yangu kwa mume wangu? Sitaki ijulikane kuwa mimba nilyo nayo ni ya msafisha kucha. Ni fedheha kwangu mm, mume wangu na wazazi wangu.
Yaani wewe NYEGE zako ziko kwenye KUCHA una JINI mahaba linapenda kukutia MIZUKA .

Wewe ni QUEEN Michepuko .
 
Haya mambo ya infidelity ukikaa ukawaza unaweza kutotamani kuingia ndoani kabisa.
 
Hivi kama ana ukimwi au magonjwa ya zinaa
halaf una mume loving husband with blessed children....

Msafisha whaaat...?
Kucha...
uplnehty-obrazkova-galerie-35.jpg
 
abort the pregnant ,its a shame and a half to sex with a stranger!!!!!
 
Utamletea mme wako UKIMWI bora nenda kaoshwe mwili mzima na msafisha kucha kaa huko huko .
Ya mume chungu sasa . Leo kucha kesho Meno mpaka kieleweke .
 
Huyu ni mwongo, kuoa siku hizi ni mpaka muonjane, hiyo sababu uliotoa ni ya uongo, kuwa mumeo hakufikishi kileleni, ulikubali ya nn kuolewa naye, wee sema tuu, ni mwingi wa habari hutosheki. Kinachokufaa kwa kweli ni talaka, asubuhi hii uanaanza hivyo, je akichoka kweli.
 
Ungeendeleza story ni mlikuwa chini ya miti barabarani au alikuja nyumbani kwako na mlitumia kitanda cha mumeo?

Na bado unaendelea nae? Unampatia pesa?

Ila inabidi unayopenda kufanyiwa na mchepuko anza kumsukuma kiujanja mumeo atende nawe, yaani akikuuliza vipi sema mimba hiyo inakusukuma kupenda kunanii na kujaribu mengi tofauti...singizia mimba kwa kila kitu.

Hawa wanaume wao wanapenda sana kusingizia husomagi wanayoandika, sasa nawe singizia mimba. Mimba hazinaga uaina kila moja kivyake, wewe ni hayo...mfunze angalia nae movie za x sema unajifunza hapo

Nakutakia kila la kheri, ila duh kuzaa nje ya ndoa umechemka kwa kweli.

Ingekuwa mwanauke mliependana sana labda ex wako ningeeelewa sababu mapenzi mengine huwa hayaishi. Na mngepata wakukaa na kujivunia mapenzi yenu hata kama mna wenza wenu. Na mipira hukufikiria au ulitaka kujaribu kupata mimba umsakizie?

Na pia wanaume wengi haya wanajitakia kabisaaaaa, wao hawajui kuishi na wake zao na kuwatenda vyema. Ni makaputi, huku watakimbilia nje kutoa uroda si ndivyo wanavyojusifu humu. Wengi mabomuuuuuuuu ha ha haaa

Kila la kheri wa ndoani wote
makonda oyeeee
 
Back
Top Bottom