Nina mimba ya msafisha kucha... Mmh!

Nina mimba ya msafisha kucha... Mmh!

Kwi kwi kwi kwi lol! Ongezea pia mbali ya kusafisha kucha unasafisha na papuchi hata kama inatema kama ya ........lol!
Muuza dawa ya kuulia mende, kunguni, viroboto na chawa tu ndo ana bahati mbaya.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Khaa hii ngumu kumeza,tena unaeleza kwa confidence za kutosha kabisa
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Atakataa vipi sasa wakati tunalala na kupakua kila siku? Anaanzaje kukataa? Wala hajui baba wa watu. Mm nimemwambia tu kuwa "mume wangu sizioni siku zangu". akasema baraka ya mtoto mwingine hiyo mke wangu.
Kwo ukajiona umewin eeh?...Subiri mtoto atoke tumboni ndo utaelewa.Usifkir sisi ni wajinga kiivo hata kama tumewaoa..Mtoto kama ni damu yangu akizaliwa na kukaa miezi 3-6,Hakyanani lazime nijue kama ni Gaka au Real.
 
Wewe unauza mechi hivi hivi shauri yako, hivi ulimpima ukimwi huyo msafisha kucha? Usikaribishe mauti katika NYUMBA yako umuache mtoto wako yatima
 
Ungeendeleza story ni mlikuwa chini ya miti barabarani au alikuja nyumbani kwako na mlitumia kitanda cha mumeo?

Na bado unaendelea nae? Unampatia pesa?

Ila inabidi unayopenda kufanyiwa na mchepuko anza kumsukuma kiujanja mumeo atende nawe, yaani akikuuliza vipi sema mimba hiyo inakusukuma kupenda kunanii na kujaribu mengi tofauti...singizia mimba kwa kila kitu.

Hawa wanaume wao wanapenda sana kusingizia husomagi wanayoandika, sasa nawe singizia mimba. Mimba hazinaga uaina kila moja kivyake, wewe ni hayo...mfunze angalia nae movie za x sema unajifunza hapo

Nakutakia kila la kheri, ila duh kuzaa nje ya ndoa umechemka kwa kweli.

Ingekuwa mwanauke mliependana sana labda ex wako ningeeelewa sababu mapenzi mengine huwa hayaishi. Na mngepata wakukaa na kujivunia mapenzi yenu hata kama mna wenza wenu. Na mipira hukufikiria au ulitaka kujaribu kupata mimba umsakizie?

Na pia wanaume wengi haya wanajitakia kabisaaaaa, wao hawajui kuishi na wake zao na kuwatenda vyema. Ni makaputi, huku watakimbilia nje kutoa uroda si ndivyo wanavyojusifu humu. Wengi mabomuuuuuuuu ha ha haaa

Kila la kheri wa ndoani wote
Usimtetee mwenzio na tabia zenu za kishenzi, mwenyewe kakiri hana sababu iliyomfanya amsaliti mme wake bali mazingira yalichukua nafasi yake!
Kama wako sio m'bunifu usidhani na wote wako hivyo, wengine kuchepuka ni sehemu ya maisha yao haijalishi anapata nini!
 
daah! thought process ya mwanamke ni ya kipekee sana

HAIELEWEKI
 
Ndio maana nmeamua niwe na watoto kama 10 hv sikosi hapo wawili au watatu wa damu yangu, maana hawa wanawake akili zao ni moja.
Na kampeni inaendelea, namiliki wa3 wa ndoa, na mtoto mmoja na mimba moja kwa michepuko.
Sitakaji ujinga mimi.
 
Mwambie Mume wako ukweli. Wimbo wa bukuku ukusaidie utubu.
 
Back
Top Bottom