Na Mm pia Msafisha Kucha
Muuza dawa ya kuulia mende, kunguni, viroboto na chawa tu ndo ana bahati mbaya.Kwi kwi kwi kwi lol! Ongezea pia mbali ya kusafisha kucha unasafisha na papuchi hata kama inatema kama ya ........lol!
Kwa uzi huu huyu mleta mada basi atakuwa jike dume
Kwo ukajiona umewin eeh?...Subiri mtoto atoke tumboni ndo utaelewa.Usifkir sisi ni wajinga kiivo hata kama tumewaoa..Mtoto kama ni damu yangu akizaliwa na kukaa miezi 3-6,Hakyanani lazime nijue kama ni Gaka au Real.Atakataa vipi sasa wakati tunalala na kupakua kila siku? Anaanzaje kukataa? Wala hajui baba wa watu. Mm nimemwambia tu kuwa "mume wangu sizioni siku zangu". akasema baraka ya mtoto mwingine hiyo mke wangu.
Hahahah mkuu kumbe chai hii,Huyo ni mwanaume anawachora tuu sasa nyie mmeingia kichwa chote ANGALIEN POSTS ZA NYUMA ALIZO POST
Hahahahsexless nmekupata...hivi wakati mwingine unageuka kuwa mwanamke?..
Jinsia mbiliSexless = neither KE nor ME
Halina akili kabisaaHii hatari sana,yani uliweza kuvuliwa bikini ukagawa penzi bila ndomu,kwa msafisha kucha uliyemuona siku moja!?Mpk na mimba amekupa?
Usimtetee mwenzio na tabia zenu za kishenzi, mwenyewe kakiri hana sababu iliyomfanya amsaliti mme wake bali mazingira yalichukua nafasi yake!Ungeendeleza story ni mlikuwa chini ya miti barabarani au alikuja nyumbani kwako na mlitumia kitanda cha mumeo?
Na bado unaendelea nae? Unampatia pesa?
Ila inabidi unayopenda kufanyiwa na mchepuko anza kumsukuma kiujanja mumeo atende nawe, yaani akikuuliza vipi sema mimba hiyo inakusukuma kupenda kunanii na kujaribu mengi tofauti...singizia mimba kwa kila kitu.
Hawa wanaume wao wanapenda sana kusingizia husomagi wanayoandika, sasa nawe singizia mimba. Mimba hazinaga uaina kila moja kivyake, wewe ni hayo...mfunze angalia nae movie za x sema unajifunza hapo
Nakutakia kila la kheri, ila duh kuzaa nje ya ndoa umechemka kwa kweli.
Ingekuwa mwanauke mliependana sana labda ex wako ningeeelewa sababu mapenzi mengine huwa hayaishi. Na mngepata wakukaa na kujivunia mapenzi yenu hata kama mna wenza wenu. Na mipira hukufikiria au ulitaka kujaribu kupata mimba umsakizie?
Na pia wanaume wengi haya wanajitakia kabisaaaaa, wao hawajui kuishi na wake zao na kuwatenda vyema. Ni makaputi, huku watakimbilia nje kutoa uroda si ndivyo wanavyojusifu humu. Wengi mabomuuuuuuuu ha ha haaa
Kila la kheri wa ndoani wote
Mbona hajasema kama hafikishwi?Punguza maneno makali jamani, muonee huruma mumewe hamfikishi alipotakiwa siku zote.