Iceman 3D
JF-Expert Member
- Sep 3, 2016
- 20,611
- 67,105
aaahIla si umeona now anatamani kuwa kwenye mikono ya nani zaidi?
Ndio muwe mnahudumia wanawake zenu vizuri, sio kuwaweka ndani na kufikiri basi inatosha. Inabidi mjiongeze kama mnavyotaka wanawake tujiongeze nanyi mnamengi ya kufanya kwao.
ndoa inahitaji vitu viwili vikubwa
upendo na uvumilivu,
upendo unahitaji kuridhisha na uvumilivu unahutaji kuridhika, kila siku uki demand more huta ridhika na huta kuwa mvumilivu.
of coz ntahangaika nimridhishe but if she will want more ata cheat tuu hata nifanyaje.
Mengine wanawake jifunzeni ket it pass, you will never get a perfect man, kama ana fanya main functions ridhika and move on.