Nina mimba ya msafisha kucha... Mmh!

Nina mimba ya msafisha kucha... Mmh!

Ndio maana ushoga hautaisha nchi hii, sasa ukute hili ni dume na linatarajia kuoa unafikiei huyi atakayeolewa atafaidika nini wakati kaolewa na mwanamke mwenzake?
Kweli duniani ni wanawake tu ambao 100% ni wanawake ika wanaume wapo amabao wanawake. Kama unajifanya jike for the sake of jf unafikiri ukikibana hili jitu kwenye ukuta hulifumui marinda?
 
Celine Dione, mwanamziki aliyetokea kuvuma na kupendwa sana ana wimbo wake ujulikanao kama "Love doesn't ask why ".

Msafisha kucha nimejikuta tu nimempa tunda na amelimega mara tatu tu lkn kishafunga goli. Nina mume wangu wa ndoa yenye miaka 4 na tuna mtoto wa miaka 3.

Kiukweli sina sabb ninayoweza kuitoa ikaeleweka kwamba kwann nilimsaliti mume wangu. Sina sabb ya msingi. Msafisha kucha alini-win padogo tu. Kuna siku aliisifia bikini yangu aliyoiona wakati akiniweka vizuri miguu ili asafishe kucha za mguu wangu wa kulia. Macho yake yalituwama kwenye bikini yangu ya rangi nyekundu.

Aliniongelesha mambo mengi huku mikono yake ikiamsha hisia zangu za kimapenzi zilizojaa kwa wingi ktk nyayo zangu. Kadri alipoendelea kusugua kucha zangu huku wayo Wangu ukiwa kiganjani kwake niliendelea kulegea. Alipoomba uroda sikusita, maana sikujiuliza mara mbili.
Nikampa siku ya kwanza, ya pili na ya tatu.

Baada ya kugundua mimba imeingia na siyo ya hubby wangu hofu imenijaa. Nimembambikizia mume wangu lkn nafsi yangu inanisuta. Na tangu nionjwe na huyo muosha kucha sifurahii mgegedo wa mume wangu kiviiiiiile.

Nifanyeje nirejeshe furaha na mahaba yangu kwa mume wangu? Sitaki ijulikane kuwa mimba nilyo nayo ni ya msafisha kucha. Ni fedheha kwangu mm, mume wangu na wazazi wangu.

UNAHARIBU TU MAISHA YA WATOTO WAKO. HATA KAMA HAMUWAPENDI WAUME ZENU TULIENI KWA AJILI YA WATOTO. SIO SWALA LA ROHO KUKUSUTA, ATAKUJA TU KUJUA SIKU MOJA. HILI LIPO WAZI .....
 
Wadada bhuana kweli acha tuwe tunawacheat tu .. Yaani unaona mtu ankuangalia adi ubikini wako na bado kesho unarudi akusafishe tena!
 
Kwanza huyo mumeo bwege aloacha anokuruhusu wewe ukachezewa miguu na wanaume wengine!! Hivi nyinyi kina dada mna nini hasa hemu hiyo kazi ya kusafisha kucha mpe mumeo!! Mim upuuzi huo siutaki hasaa kucha nasafisha mwenyewe hivyo hicho kibikini nakiona mwenyewe!!! Wanaume tujikazeni hawa watu hawajitambui
 
stori tu hizo. Tunashukuru umewatahadharisha wenzako juu ya wasafisha kucha!!
 
Celine Dione, mwanamziki aliyetokea kuvuma na kupendwa sana ana wimbo wake ujulikanao kama "Love doesn't ask why ".

Msafisha kucha nimejikuta tu nimempa tunda na amelimega mara tatu tu lkn kishafunga goli. Nina mume wangu wa ndoa yenye miaka 4 na tuna mtoto wa miaka 3.

Kiukweli sina sabb ninayoweza kuitoa ikaeleweka kwamba kwann nilimsaliti mume wangu. Sina sabb ya msingi. Msafisha kucha alini-win padogo tu. Kuna siku aliisifia bikini yangu aliyoiona wakati akiniweka vizuri miguu ili asafishe kucha za mguu wangu wa kulia. Macho yake yalituwama kwenye bikini yangu ya rangi nyekundu.

Aliniongelesha mambo mengi huku mikono yake ikiamsha hisia zangu za kimapenzi zilizojaa kwa wingi ktk nyayo zangu. Kadri alipoendelea kusugua kucha zangu huku wayo Wangu ukiwa kiganjani kwake niliendelea kulegea. Alipoomba uroda sikusita, maana sikujiuliza mara mbili.
Nikampa siku ya kwanza, ya pili na ya tatu.

Baada ya kugundua mimba imeingia na siyo ya hubby wangu hofu imenijaa. Nimembambikizia mume wangu lkn nafsi yangu inanisuta. Na tangu nionjwe na huyo muosha kucha sifurahii mgegedo wa mume wangu kiviiiiiile.

Nifanyeje nirejeshe furaha na mahaba yangu kwa mume wangu? Sitaki ijulikane kuwa mimba nilyo nayo ni ya msafisha kucha. Ni fedheha kwangu mm, mume wangu na wazazi wangu.
Pima ngoma kwanza
 
Niite mshamba lakini mimi siku zote huwa sipendi mke kuoshwa kucha. Kama hawezi kujisafisha atajiju. Huu upuuzi ndio matokeo hayo
Anyaway hongera kwa kuwa mwanamke kahaba, rahisi kiasi hicho na usisite kumwambia mumeo.
 
Simwamin mwanamke maishan mwangu na simpi moyo wangu coz iko siku atanivunja moyo tu. Nikiona mtt nina mashaka nae DNA ni lazima tupimane. Siku hizi huwezi zaa na mkeo mpk wtt wa3 asichakachue mmoja hapo katikati
Inategemea una chenji kiasi gani, DNA very expensive
 
Kwani mchora kucha hana?
Naimani ushampa zaidi yamara4
Siku mnapeana ulikua unamuona ka baharesa leo amukupa kitambi ushomwona mchora kucha
Acha zarau na kujishebedua,,ungekua na wewe unajiheshim usingemzalilisha mmeo kwa huyo uliomtambua mchora kucha baada yakufunga goli la mkono
 
kwa asilimia kubwa wanawake wanapenda vitu vidogo vidogo ama vitu vya anasa tena kwa mteremko ama dezo dezo (bure) na ndipo vinapokuja kuwatokea puani kama huyu mhanga
Tamaa zoa huwa zinatoka kwa hawa watu
1- wauza urembo
2- wapaka rangi kucha na kusugua migu
3- wauza vyombo vya ndani
4- wauza mboga mboga mtaani
5- masonara
6- mafundi simu
7- wauza genge (soko dogo)
8- Bodaboda
ukiona mwanamke wako anamazoea na hawa watu Brother kuwa makini Kuliko navyo kueleza
 

Sasa wewe unakereka na hayakuhusu, je mumewe!!(kama story ingekuwa kweli lkn)
hahaha
imeniuma sana hii story kwa kweli
tatizo mumewe hajui anaona ni sawa tu anajihisi yeye ndio dokta mwaakaa, kumbe kitoto si chake
 
hahaha
imeniuma sana hii story kwa kweli
tatizo mumewe hajui anaona ni sawa tu anajihisi yeye ndio dokta mwaakaa, kumbe kitoto si chake
Ndio hivyo bwana, leeni tu maana kitanda hakizai haramu.
 
Back
Top Bottom