Nina mimba ya msafisha kucha... Mmh!

Nina mimba ya msafisha kucha... Mmh!

mmh mimi ngoja nijipitie zangu tu maana nahic nikijifanya natoa ushauri lazima nitakuja kutukana tu
 
huwa nakupendaga wewe na mambo yako, but hili umezidisha jaman
whats that!!?

Jamani si ushauri, ha ha haaaaa

Mnatufundisha wengine sisi humu humu JF, tunasoma na kusubiri kuandikia kwa wengine sio vibaya nao wajaribu kusevu ndoa zao jamani

Ila ingekuwa mwanaume mngetetea si ndio?
 
no kasema hakuwa na sabab
yaan she had no any reasons to cheat.

Ila kasema amepewa vya moto moto hata mume haoni ndani, kajaribu kapata utamu sasa afanyeje tena.

Alipungukiwa kitu hakujijua sasa amejua uroda wa tendo hilo.

Ni vizuri wanawake wakae na wakubwa wao wafunzwe maujanja na kusukuma wanaume kuwafikisha. Angekuwa anafikishwa na mumewe hasingehata pata hisia hizo kabisa.

Mboma mimi nimewahi kusafishwa nao na sijawahi kujisikia hata kidunchu cha kutenda hayo mabaya.

Maisha yana mengi kwa wengi.
 
kumbe uko vema sana kwa ubongo, ila katika siasa unajifanya mtupu. nimekupenda kwa leo

Ha ha haaaaaa

Siasa tena, siasa ni habari nyingine maishani. Mimi sio mwanasiasa bali naandikaga kama mwanancholi tu na najifunza mengi. Ila napenda kupinga ambacho akina miguu wala kichwa nakutoa ukweli ninaohuona.
 
Jamani si ushauri, ha ha haaaaa

Mnatufundisha wengine sisi humu humu JF, tunasoma na kusubiri kuandikia kwa wengine sio vibaya nao wajaribu kusevu ndoa zao jamani

Ila ingekuwa mwanaume mngetetea si ndio?
hehehehe
baba hakosei bhana, tunge mfikiria kdogo, ila huyu aliye singizia mimb hapana kwa kweli mweer!!
 
Ila kasema amepewa vya moto moto hata mume haoni ndani, kajaribu kapata utamu sasa afanyeje tena.

Alipungukiwa kitu hakujijua sasa amejua uroda wa tendo hilo.

Ni vizuri wanawake wakae na wakubwa wao wafunzwe maujanja na kusukuma wanaume kuwafikisha. Angekuwa anafikishwa na mumewe hasingehata pata hisia hizo kabisa.

Mboma mimi nimewahi kusafishwa nao na sijawahi kujisikia hata kidunchu cha kutenda hayo mabaya.

Maisha yana mengi kwa wengi.
kipya kinyemi coco, sasa mtu washa kaa naye miaka, dudu ike ike wamebadilisha mapigo wamchoka, of coz akikutana na mtu anaye jituma kidogooo tuuu lazma ahisi mumewe hawez mambo.
ila kumsingizia mimba haija kaa poa kwa kweli
 
Back
Top Bottom