Nina mimba ya msafisha kucha... Mmh!

Nina mimba ya msafisha kucha... Mmh!

Pumbavu zako umesaliti halafu bado unazidi tetea hoja zako za ufedhuli wako na eti tukupe ushauri!.Kuna Mkuu 1 alishawahi sema humu ndani kuwa hatomruhusu mkewe apakwe rangi na hao jamaa na siku akimkuta basi ndio tiketi yake.In fact sikumuelewa at that time kwakuwa nilimchukulia km mnyanyapaa katika mahusiano.Lkn sasa nathubutu kusema kweli alikuwa sahihi kwa maana alikuwa anajitengezea kinga ili kuepuka unnecessary malumbano
 
Mshenzi sana wewe,kwanza unatiwa na MTU Mgeni huvai hata condom mana Yake nimuuwaji wewe,unaweza kumuua mumeo,pia jiangalie kwenye kioo ulivyo mkatili unaanza kwa kumbambikia Siku inakuja utataka kumuua ilikuepuka fedheha,dhambi inakuotea IPO mlangoni ,wanawake kuwatetea ni Kazi sana,najua unamawazo yakuua tu,kama sio mimba,basi msafisha kucha au mumeo,utamkoma Mungu
 
Asante kwa kunitia moyo na kunitetea. Kuwa kwangu muwazi kwenu leo ndiyo wananipa jina chafu la umalaya? Wake zao wameficha makubwa zaidi ya haya. Wapeleke watoto wao kwenye DNA machine waone.
Usijitie moyo umekosea,wala haina jinsi ya kuipolish umechemka,kua jinsi ya kumalizana nalo,omba muuza kucha sijui asirudi aogope mumeo,Ila akirudi lazima ukome wewe
 
Celine Dione, mwanamziki aliyetokea kuvuma na kupendwa sana ana wimbo wake ujulikanao kama "Love doesn't ask why ".

Msafisha kucha nimejikuta tu nimempa tunda na amelimega mara tatu tu lakini kishafunga goli. Nina mume wangu wa ndoa yenye miaka 4 na tuna mtoto wa miaka 3.

Kiukweli sina sababu ninayoweza kuitoa ikaeleweka kwamba kwanini nilimsaliti mume wangu. Sina sababu ya msingi. Msafisha kucha alini-win padogo tu. Kuna siku aliisifia bikini yangu aliyoiona wakati akiniweka vizuri miguu ili asafishe kucha za mguu wangu wa kulia. Macho yake yalituwama kwenye bikini yangu ya rangi nyekundu.

Aliniongelesha mambo mengi huku mikono yake ikiamsha hisia zangu za kimapenzi zilizojaa kwa wingi katika nyayo zangu. Kadri alipoendelea kusugua kucha zangu huku wayo wangu ukiwa kiganjani kwake niliendelea kulegea. Alipoomba uroda sikusita, maana sikujiuliza mara mbili. Nikampa siku ya kwanza, ya pili na ya tatu.

Baada ya kugundua mimba imeingia na siyo ya hubby wangu hofu imenijaa. Nimembambikizia mume wangu lakini nafsi yangu inanisuta. Na tangu nionjwe na huyo muosha kucha sifurahii mgegedo wa mume wangu kivile.

Nifanyeje nirejeshe furaha na mahaba yangu kwa mume wangu? Sitaki ijulikane kuwa mimba niliyo nayo ni ya msafisha kucha. Ni fedheha kwangu mimi, mume wangu na wazazi wangu.
Hatari Sana hii... Wanawake kuweni serious
 
Nikimkuta mke amepakwa rangi ya kucha na mpanga rangi za kucha itakuwa tiketi ya kurudi kwao
 
Nachangia context sio mleta mada pengine ni mwanaume. Binadamu lazima ujue value yako na mwelekeo bora wa maisha hasa kupata furaha ya kupewa nafasi ya kuishi.
 
Celine Dione, mwanamziki aliyetokea kuvuma na kupendwa sana ana wimbo wake ujulikanao kama "Love doesn't ask why ".

Msafisha kucha nimejikuta tu nimempa tunda na amelimega mara tatu tu lakini kishafunga goli. Nina mume wangu wa ndoa yenye miaka 4 na tuna mtoto wa miaka 3.

Kiukweli sina sababu ninayoweza kuitoa ikaeleweka kwamba kwanini nilimsaliti mume wangu. Sina sababu ya msingi. Msafisha kucha alini-win padogo tu. Kuna siku aliisifia bikini yangu aliyoiona wakati akiniweka vizuri miguu ili asafishe kucha za mguu wangu wa kulia. Macho yake yalituwama kwenye bikini yangu ya rangi nyekundu.

Aliniongelesha mambo mengi huku mikono yake ikiamsha hisia zangu za kimapenzi zilizojaa kwa wingi katika nyayo zangu. Kadri alipoendelea kusugua kucha zangu huku wayo wangu ukiwa kiganjani kwake niliendelea kulegea. Alipoomba uroda sikusita, maana sikujiuliza mara mbili. Nikampa siku ya kwanza, ya pili na ya tatu.

Baada ya kugundua mimba imeingia na siyo ya hubby wangu hofu imenijaa. Nimembambikizia mume wangu lakini nafsi yangu inanisuta. Na tangu nionjwe na huyo muosha kucha sifurahii mgegedo wa mume wangu kivile.

Nifanyeje nirejeshe furaha na mahaba yangu kwa mume wangu? Sitaki ijulikane kuwa mimba niliyo nayo ni ya msafisha kucha. Ni fedheha kwangu mimi, mume wangu na wazazi wangu.
Pole, ila me naogopa kukushauri maana unaweza ukahamia kwangu wkt na me nimeoa
 
Omba talaka, ukaolewe na msafisha kucha, kuna watu hawaridhilagi kwa kweli ,na mwendesha bodaboda utampa akikusifia unanukia vizuri.
Na wale wakongo wanaomsuka nywele lazima wameshamfumua marinda kwa kumsifia ana nywele nzuri.
 
Back
Top Bottom