Nina milioni 50 haina kazi

Nina milioni 50 haina kazi

duanzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2012
Posts
16,428
Reaction score
225
Niifanyie nini? Naombeni ushauri wenu wadau.Mwana JF yoyote akinipa ushauri mzuri nampa milioni 10 cash
 
Kama haina kazi itupe wenye kazi nayo wataiokota!!!!!
 
Zimwagie mafuta ya taa kisha uzichome moto!
 
Kama huna ushauri pita kimya kimya.
 
katoe sadaka kanisani au msikitini utabarikiwa sana
 
Mwana JF yoyote atakaenipa ushauri mzuri nampa milioni 10 cash.
 
Tuma 15ml kwenye account yangu, kisha inayobaki 35ml nunua viwanja. Kama kweli haina kazi, ukinunua viwanja nje ya mji utakuwa umeihifadhi mpaka miaka ya baadae utakapokuja kuona ina kazi.
 
Kwani we ni Dj Khaled

Say my name baby! Say my name baby! Yeah! You are smart, as a matter of fact you r genius. Take this money go buy houses, take this money go spend it for no reason, go buy yo mama a house!
 
Zilete hapa sweden nikugungashie ma tractor ukalime au uuze
 
Nikopeshe mm milion 1 maana nimekosa mkopo chuo,na uwezo wangu mdogo nikopeshe nitailipa taratibu
 
Back
Top Bottom