Kawashauri vijana wenzio hiviiMkuu tubet hapo tutafute tu team moja yenye odds walau 2. Kama leo Sheffield United anacheza na Westham United pale Bramall Lane lazima Sheffield washinde.
Kesho asubuhi unaamka na 90million, no stress.
Tupo tunapambania kombeKawashauri vijana wenzio hivii
Benki wana product mbali mbali paka uchunguze benki ipi ina product ipi zuri kwasasa kwa nyumba Barclays walikua wazuri walikua wanatoa riba yao kila mwezi na pesa ilikua nzuri tu ila kwasasa sijuiBank ipi iko vizuri,niliyokuwa nayo ni nzuri kosa nililofanya ni kununua daladala za kufufua sababu pesa ilikuwepo nimejikuta imeishia garage japo zimesimama lkn pasua kichwa zinakula Pesa kama jini mfilisi unarekebisha hiki kinaibuka hiki naona tafilisika japo wazoefu wanakwambia ndio gari zilivo vumilia zitatulia zikishajivubua magonjwa yote hata sisi tulianza hivo hivo.Unagusa services ya pump ukicheki imeliwa laki nani hapo nikipiga sawa na mifuko ya cement kadhaa,Mara gari imekamatwa,najikuta natoa tu
Alafu huwanze mambo kama hayo utapiga kila aina papuchuJenga kanisa alafu andika Ministry of Jesus....
Kwa maana ya kununua trekta na kulima mazao yenye low risk mfano karanga,alizeti,mtama,muhogo vipKupeleka hela yako shambani kujitakia umaskini tu.
dodge
Inayowezalaza laki 3 kwa sikuFanya namba 3 kisha nitafute nikuonyeshe njia yenye pesa.
Inayowezalaza laki 3 kwa siku
Ruti za nje ya mji vipBasi nunua Bus kwa TATA itakuwa ngumu. Ama nunua hilo trekta kisha limia watu mashamba yao nayo ni nzuri pia.
Ruti za nje ya mji vip
Sina kipaji cha kuongeaJenga kanisa alafu andika Ministry of Jesus....
Hii biashara ya mazao hususani mpunga inahitaji umakini sana kwani unanunua kitu ambacho kiko kwenye maganda!!na bei zake huwa hazitabiriki sana!!bora hata ya mcheleHilo nalo wazo nalowazia pia
Nilijua tu wazo la kubet halikosi....nasubiria la forexMkuu tubet hapo tutafute tu team moja yenye odds walau 2. Kama leo Sheffield United anacheza na Westham United pale Bramall Lane lazima Sheffield washinde.
Kesho asubuhi unaamka na 90million, no stress.